Mkoa wa DSM Kugawanywa na Kuunda Mkoa wa (Ilala +Kisarawe -HQ) na Dar Es Salaam

Huku ni kuongeza gharama tu za serikali katika kuendesha nchi ambazo hazihitajiki. Umeshasikia nchi za wenzetu wanataka kuongeza states zao au provinces zao? Mkuu wa mkoa mpya na gari lake la $150 millioni na subordinates wake chungu nzima!!! Kweli CCM haina mwelekeo.
 
Bubu Ataka kusema,
Mkuu unajua siku zote sisi maskini tukishindwa hutafuta mchawi na mara nyingi kisingizio huwa ukubwa wa nchi au ardhi..Tunaogopa sana kukubali kushindwa au lawama ziwe mikononi mwetu..Ni lazima kuna mchawi....tumelogwa. na kuugawa mkoa wa Dar ni moja ya mitazamo ya Mdanganyika..
Tumeshindwa kuuendeleza mkoa mdogo kuliko mikoa yote nchini.. Mkoa ambao una watu wengi zaidi ya mikoa yote with huge revenue, more ecomonic prosperity..Bila shaka kilichotakiwa kuondoka ni makao makuu kuhamia Dodoma..
Mara nyingi najiuliza kama kweli wasomi, viongozi na wanasiasa wetu wanafahamu sababu ambazo nchi zote duniani huyaweka Makao makuu ya Taifa nje ya Mji mkuu..Na kutofahamu huko (upeo mdogo0 ndio maana tunang'ang'ania makao makuu yabakie Dar, tunashindwa kabisa kuelewa sababu za kuhamia Dodoma..
 
Kwangu mimi, ku-decentralize huduma Dar-es-salaam ni muhimu kuliko hii bureaucracy ya mikoa. Na decentralization hii haihitaji mkoa mpya.

Watu wanataka kupitisha mgao viuri zaidi, na some gerrymandering katika election juu.

Long live lordly largesse!
 
Kwangu mimi, ku-decentralize huduma Dar-es-salaam ni muhimu kuliko hii bureaucracy ya mikoa. Na decentralization hii haihitaji mkoa mpya. Watu wanataka kupitisha mgao viuri zaidi, na some gerrymandering katika election juu.

Long live lordly largesse!

Kudecentralize huduma kuziweka chini ya kina nani..hao wajanjawajanja waliojaa katika uongozi wa serikali za mitaa?.....

omarilyas
 
Kwangu mimi, ku-decentralize huduma Dar-es-salaam ni muhimu kuliko hii bureaucracy ya mikoa. Na decentralization hii haihitaji mkoa mpya.

Watu wanataka kupitisha mgao viuri zaidi, na some gerrymandering katika election juu.

Long live lordly largesse!

Bado wataongeza na majimbo ya Uchaguzi yale wanayoona yanaupinzania sana wanaya merge na yale watakayoshinda wanayagawa mara tano.
 

Sasa hivi kuna viwanja vingi sana vya serikali vimepimwa na vinaendelea kutolewa huko KISARAWE na wadau wanavichukua kwa kasi ya ajabu. Taarifa za Uhakika ni kuwa kuna Viwanja vya LOW DENSITY - TZS 1.0 Million; MEDIUM DENSITY - TZS 800,000 na LOW DENSITY - TZS 500,000.


Habari Ndo Hiyo!

Kati ya hizo mbili ipi ni high na ipi ni low?
 
mimi kwa maoni yangu mkoa ambao ungepaswa kugawanywa ni pwani yaani kuwe na pwani kaskazini(kibaha,bagamoyo,chalinze n.k)na pwani kusini(kisarawe,mkuranga,rufiji,mafia n.k)kwani matatizo ya dsm yanaendelezwa na muundo wa mkoa wa pwani.na kwa sababu mkoa wa pwani haujaharibiwa sana kwa kuugawa tunaweza kuweka vipao mbele vipya na watu wakaenda kuishi huko badala ya kujibana dsm ambako sasa ni vigumu kurekebisha.
 
Last edited:
Sasa hivi tutasikia na ule Mkoa kivuli wa MAJESHI, unatafuta kuwa na wilaya zake pamoja na majimbo yake ya uchaguzi.
 
Nziku;

Nchi hii miundombinu yetu bado haijakaa vizuri kabisa.

Unajua Kisarawe pia iko Mkoa wa Pwani ambayo makao yake Makuu ni Kibaha. Cha ajabu huwezi kwenda Kibaha bila kupita DSM kwa kuwa njia ya kuunganisha Kisarawe na Kibaha ndo hivyo tena.

Kuna watu Wanafanya Kazi Kibaha wengi sana wanaishi DSM, hali kadhalika wengi wanaofanya kazi Kisarawe wanaishi DSM including Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.

Kazi Kweli Kweli

Na ukianzishwa mkoa wa Ilala, mkazi wa Kinondoni anayefanya kazi Temeke itabidi apite mkoa mwingine kwanza ili kufika kazini kwake na vivyo hivyo mkazi wa Temeke.
 
Nimesikia Tetesi kuwa Mkoa wa Dar Es Salaam utagawanywa sehemu mbili ili kurahisisha utawala na kuleta ufanisi.

  • Kutakuwa na Mkoa wa Dar Es Salaam bila Wilaya ya Ilala.
  • Kutakuwa na Mkoa wa Ilala ambao utakuwa na Wilaya ya Ilala na Kisarawe huku Kisarawe ikiwa makao makuu ya Mkoa.
Mwenye taarifa zaidi tunaomba atupatie.


Sasa hivi kuna viwanja vingi sana vya serikali vimepimwa na vinaendelea kutolewa huko KISARAWE na wadau wanavichukua kwa kasi ya ajabu. Taarifa za Uhakika ni kuwa kuna Viwanja vya LOW DENSITY - TZS 1.0 Million; MEDIUM DENSITY - TZS 800,000 na LOW DENSITY - TZS 500,000.

Habari Ndo Hiyo!

Mkuu, mimi nahitaji high density plot, vipi watakuwa navyo make naona kuna low na medium density tu!
 
Mkuu Mimi sina uhakika kwani bado ni tetesi. Ila kama ni kweli Kijiografia bado ni sawa. Angalia ramani ni wilaya ya Ilala tu inapakana na Kisarawe:
attachment.php


Hata Kinondoni nayo imepakana na Kisarawe upande wa Kiluvya, kuna Kiluvya ya Kinondoni na ya Kisarawe.
 
Bubu Ataka kusema,
Mkuu unajua siku zote sisi maskini tukishindwa hutafuta mchawi na mara nyingi kisingizio huwa ukubwa wa nchi au ardhi..Tunaogopa sana kukubali kushindwa au lawama ziwe mikononi mwetu..Ni lazima kuna mchawi....tumelogwa. na kuugawa mkoa wa Dar ni moja ya mitazamo ya Mdanganyika..
Tumeshindwa kuuendeleza mkoa mdogo kuliko mikoa yote nchini.. Mkoa ambao una watu wengi zaidi ya mikoa yote with huge revenue, more ecomonic prosperity..Bila shaka kilichotakiwa kuondoka ni makao makuu kuhamia Dodoma..
Mara nyingi najiuliza kama kweli wasomi, viongozi na wanasiasa wetu wanafahamu sababu ambazo nchi zote duniani huyaweka Makao makuu ya Taifa nje ya Mji mkuu..Na kutofahamu huko (upeo mdogo0 ndio maana tunang'ang'ania makao makuu yabakie Dar, tunashindwa kabisa kuelewa sababu za kuhamia Dodoma..
Nadhani itafika mahali tutalazimik kuigawa na nchi yenyewe kabisa
 
Nadhani mkoa mpya utakuwa Temeke+Kisarawe. Kabla wilaya Temeke kuanzishwa, mwaka 74, ilikuwa ni sehemu ya Kisarawe na makao makuu yalikuwa ni hapo siku hizi ni wizara ya Kilimo
 
Back
Top Bottom