Mmh haya! tusubiri mkoa wa Bagamoyo naona mikoa ina ota kama uyoga sasa....
Mithili ya wingi wa mawaziri na manaibu mawaziri?
Mmh haya! tusubiri mkoa wa Bagamoyo naona mikoa ina ota kama uyoga sasa....
Mkoa wa Njombe, Mkoa wa Ilala, watu wanabunifu wa njia za kupata ulaji. Langu jicho.
Kwangu mimi, ku-decentralize huduma Dar-es-salaam ni muhimu kuliko hii bureaucracy ya mikoa. Na decentralization hii haihitaji mkoa mpya. Watu wanataka kupitisha mgao viuri zaidi, na some gerrymandering katika election juu.
Long live lordly largesse!
Kwangu mimi, ku-decentralize huduma Dar-es-salaam ni muhimu kuliko hii bureaucracy ya mikoa. Na decentralization hii haihitaji mkoa mpya.
Watu wanataka kupitisha mgao viuri zaidi, na some gerrymandering katika election juu.
Long live lordly largesse!
Kati ya hizo mbili ipi ni high na ipi ni low?
Sasa hivi kuna viwanja vingi sana vya serikali vimepimwa na vinaendelea kutolewa huko KISARAWE na wadau wanavichukua kwa kasi ya ajabu. Taarifa za Uhakika ni kuwa kuna Viwanja vya LOW DENSITY - TZS 1.0 Million; MEDIUM DENSITY - TZS 800,000 na LOW DENSITY - TZS 500,000.
Habari Ndo Hiyo!
Nziku;
Nchi hii miundombinu yetu bado haijakaa vizuri kabisa.
Unajua Kisarawe pia iko Mkoa wa Pwani ambayo makao yake Makuu ni Kibaha. Cha ajabu huwezi kwenda Kibaha bila kupita DSM kwa kuwa njia ya kuunganisha Kisarawe na Kibaha ndo hivyo tena.
Kuna watu Wanafanya Kazi Kibaha wengi sana wanaishi DSM, hali kadhalika wengi wanaofanya kazi Kisarawe wanaishi DSM including Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.
Kazi Kweli Kweli
Nimesikia Tetesi kuwa Mkoa wa Dar Es Salaam utagawanywa sehemu mbili ili kurahisisha utawala na kuleta ufanisi.
- Kutakuwa na Mkoa wa Dar Es Salaam bila Wilaya ya Ilala.
Mwenye taarifa zaidi tunaomba atupatie.
- Kutakuwa na Mkoa wa Ilala ambao utakuwa na Wilaya ya Ilala na Kisarawe huku Kisarawe ikiwa makao makuu ya Mkoa.
Sasa hivi kuna viwanja vingi sana vya serikali vimepimwa na vinaendelea kutolewa huko KISARAWE na wadau wanavichukua kwa kasi ya ajabu. Taarifa za Uhakika ni kuwa kuna Viwanja vya LOW DENSITY - TZS 1.0 Million; MEDIUM DENSITY - TZS 800,000 na LOW DENSITY - TZS 500,000.
Habari Ndo Hiyo!
Mkuu Mimi sina uhakika kwani bado ni tetesi. Ila kama ni kweli Kijiografia bado ni sawa. Angalia ramani ni wilaya ya Ilala tu inapakana na Kisarawe:
Nadhani itafika mahali tutalazimik kuigawa na nchi yenyewe kabisaBubu Ataka kusema,
Mkuu unajua siku zote sisi maskini tukishindwa hutafuta mchawi na mara nyingi kisingizio huwa ukubwa wa nchi au ardhi..Tunaogopa sana kukubali kushindwa au lawama ziwe mikononi mwetu..Ni lazima kuna mchawi....tumelogwa. na kuugawa mkoa wa Dar ni moja ya mitazamo ya Mdanganyika..
Tumeshindwa kuuendeleza mkoa mdogo kuliko mikoa yote nchini.. Mkoa ambao una watu wengi zaidi ya mikoa yote with huge revenue, more ecomonic prosperity..Bila shaka kilichotakiwa kuondoka ni makao makuu kuhamia Dodoma..
Mara nyingi najiuliza kama kweli wasomi, viongozi na wanasiasa wetu wanafahamu sababu ambazo nchi zote duniani huyaweka Makao makuu ya Taifa nje ya Mji mkuu..Na kutofahamu huko (upeo mdogo0 ndio maana tunang'ang'ania makao makuu yabakie Dar, tunashindwa kabisa kuelewa sababu za kuhamia Dodoma..