Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Nimesikia Tetesi kuwa Mkoa wa Dar Es Salaam utagawanywa sehemu mbili ili kurahisisha utawala na kuleta ufanisi.
Mwenye taarifa zaidi tunaomba atupatie.
Sasa hivi kuna viwanja vingi sana vya serikali vimepimwa na vinaendelea kutolewa huko KISARAWE na wadau wanavichukua kwa kasi ya ajabu. Taarifa za Uhakika ni kuwa kuna Viwanja vya LOW DENSITY - TZS 1.0 Million; MEDIUM DENSITY - TZS 800,000 na LOW DENSITY - TZS 500,000.
Habari Ndo Hiyo!
- Kutakuwa na Mkoa wa Dar Es Salaam bila Wilaya ya Ilala.
- Kutakuwa na Mkoa wa Ilala ambao utakuwa na Wilaya ya Ilala na Kisarawe huku Kisarawe ikiwa makao makuu ya Mkoa.
Mwenye taarifa zaidi tunaomba atupatie.
Sasa hivi kuna viwanja vingi sana vya serikali vimepimwa na vinaendelea kutolewa huko KISARAWE na wadau wanavichukua kwa kasi ya ajabu. Taarifa za Uhakika ni kuwa kuna Viwanja vya LOW DENSITY - TZS 1.0 Million; MEDIUM DENSITY - TZS 800,000 na LOW DENSITY - TZS 500,000.
Habari Ndo Hiyo!