Huyu alikuwa muuza mchele pale ifakara ..hajamaliza hata form 4 leo anapewa ukuu wa wilaya! Hahaaa JK bwana sijui unaangaliaga nini kwenye teuzi zako?guninita muuza mchele enzi hizo 1992 pale ifakara,guninita kaishia form 2 leo unampa u dc? Hahaaa
Mwenge,mwenge,mwenge nini?hawa magamba t.i.g.o. Sana wanazani watanzania wa leo ni wale wa bora wananchi wafe njaa lakini rais anunuliwe ndege.LIWALO NA LIWE.
Kwa mjibu wa sera za CCM ambazo mkuu wa wilaya ni msimamizi wake katika ngazi ya wilaya mwenge ni muhimu sana kuliko shule.Kwa alichofanya mda si mref wata mpromoti kuwa RC, sasa kazi kwa CDM Kwenda kujichukulia hilo jimbo. Idumu CDM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.