Wote tuna makosa. Nitajie ndani ya ccm asiye fisadi. Haitoshi kusema "ndani ya ccm kuna watu wengi wasafi."Nadhani umetumwa na kama ni ushahidi hapa si mahali pake. Tunahitaji mtu safi na mwenye uzalendo na nchi hii.Wengi wanajua huyu bwana si safi ikiwa ni pamoja na walio kaburini (Nyerere, etal.). Kama anataka kujisafisha kwa sasa atatumia nguvu nyingi sana, tena sana.Ni sawa na kumwosha mtu aliyetumbukia chooni akaokolewa kwa kutumia sabuni yambuni. Ukiona mtu anafuta uongozi kwa kuhonga watu na makundi, ni hatarisana.