Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,501
- 93,021
Wakuu kaimu naibu katibu mkuu wa chama cha CUF Ndugu Mketo, nimeshtushwa sasa hivi kusikia redioni kupitia kipindi cha meza ya busara eti kupunguwa kwa kura za CUF na Lipumba kwenye uchaguzi mkuu uliopita kulitoka na Waislamu kuamuwa kumpigia kura mwislamu mwenzao Jakaya Kikwete na hivyo kuathiri kura za Lipumba!!
Source: Wapo redio meza ya busara.
My take: Sihitaji tena degree kujuwa kwamba kumbe lisemwalo lipo na hakuna shaka yoyote kwamba hiki ni chama cha kiislamu ila kuna Watanzania bado hajafamu vyema Agenda ya chama hiki na ni hakika Jusa hakukosea alipotoa ile kauli kwamba kushindwa kwa CUF Uzini ni kwa sababu wakazi wake wengi ni wakristo na Wabara!
Source: Wapo redio meza ya busara.
My take: Sihitaji tena degree kujuwa kwamba kumbe lisemwalo lipo na hakuna shaka yoyote kwamba hiki ni chama cha kiislamu ila kuna Watanzania bado hajafamu vyema Agenda ya chama hiki na ni hakika Jusa hakukosea alipotoa ile kauli kwamba kushindwa kwa CUF Uzini ni kwa sababu wakazi wake wengi ni wakristo na Wabara!