Bila shida yoyote anaujaza, sio kama huyo hadi aweke na kwaya za wakata mauno
Ok, sasa tumeelewana hajawahi ujaza ila mashindano ya quran yanayoratibiwa na kamati za kitaifa na kimataifa ndio yanaujaza uwanja ila sio Kishki anaujaza. Naomba sasa ufute na ukanushe kauli yako kuwa "Kishki anaujaza uwanja"
 
Ok, sasa tumeelewana hajawahi ujaza ila mashindano ya quran yanayoratibiwa na kamati za kitaifa na kimataifa ndio yanaujaza uwanja ila sio Kishki anaujaza. Naomba sasa ufute na ukanushe kauli yako kuwa "Kishki anaujaza uwanja"
Daaah! Una kichwa kigumu wewe, kwahiyo huyo mwamposa kila kitu kaandaa yeye bila kamati?
 
Tunapokea Kibali cha Upako hapa mkuu.

Kumtaja kristo sio jambo rahisi.

Utajuaje mtu anayemtaja kristo ni tapeli na mungo?

Dini ni imani mfano yeye akimtaja kristo ,sisi tunaamini hivyo hata kama yeye kichwani anaamini kristo wake wa duniani.
Utajua kwa kusoma maandiko kwani yapo wazi.
 
Bwana Yesu alikuwa anapokea pesa/mali kutoka kwa wahitaji/wafuasi wake?
Kama watu wanatoa pesa na wanapokea matamanio ya mioyo yao, yaani wanafanikishwa, acha watoe, ukidhani nivirahisi, itisha kongamano na wewe uone kama utawapata hao watu. Tusiwe na mawazo yenye mlengo hasi tu, tujifunze pia kwanini Boniphace Mwamposa kafanikiwa hivi na iwe chachu kwenye maisha yetu
 
Bwana Yesu asifiwe?

Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.

Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.

=========

Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea

======

23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI

View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
hapa ndipo unaona akili za mwafrika mavi matope1 Yamejazana na akili ndogo mavi. haya majuha Ukiyaambia kuwa kila mtu aje na kopo litageuka kubwa Scania bus yataleta!
 
Bwana Yesu alikuwa anapokea pesa/mali kutoka kwa wahitaji/wafuasi wake?
JF ina watu wajinga sana, wanabishana kwenye vitu wasivyovijua. Ona huyu

Bwana alitoa maagizo kwa wana wa Israeli wote kutoa malimbuko katika mazao yao, yaani kupeleka sehemu ya kwanza ya mavuno yao nyumbani kwa Mungu, kuonesha shukrani zao mbele za Mungu kwa kupewa mazao.
 
Nabii anavuka na chake usiku wa leo. Utani pembeni, wakuu nendeni ukamsifu na kumtukuza Mungu ila kwa upande wa sadaka nashauri mkatoe kwa wahitaji zaidi kama walemavu, watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, wagonjwa n.k

Msiache pesa zenu hapo watu wakavuka nazo. Ibada ni bure kabisa ndugu zangu
 
Hii ni ishara tosha kuwa sisi watanzania tunatembea na mizigo ya matatizo na dhiki katika maisha yetu. Iwe ajira, ndoa, maisha duni, afya na maradhi.

Yaani sisi watanzania tunaishi katika dimbwi la dhiki, ndio maana watu kama hawa wataendelea kupata wafuasi na kupiga pesa ndefu..

All in all, kama unaenda huko na mambo yako yanafanikiwa, good for you
 
Hivi wanatoa sadaka? If so, kama level seat ni 60,000 na nilivyoona hapo ni kama Mkapa Stadium ipo full.

Just imagine kila mtu atoe walau 1,000 zidisha kwa watu 60,000...dadeq kweli mwenye nacho hupewa zaidi. A minimum of 60,000,000 Tsh.

Aliye nacho anazidi kuongezewa.
 
Back
Top Bottom