Ok, sasa tumeelewana hajawahi ujaza ila mashindano ya quran yanayoratibiwa na kamati za kitaifa na kimataifa ndio yanaujaza uwanja ila sio Kishki anaujaza. Naomba sasa ufute na ukanushe kauli yako kuwa "Kishki anaujaza uwanja"Bila shida yoyote anaujaza, sio kama huyo hadi aweke na kwaya za wakata mauno
Huyu Mungu unayemuamini ndiye kaweka sadaka.Nilishasema naamini katika Mungu namuomba natoa kwa wenye uhitaji ila sitoenda kwenye makanisa hadi wafute sadaka
Daaah! Una kichwa kigumu wewe, kwahiyo huyo mwamposa kila kitu kaandaa yeye bila kamati?Ok, sasa tumeelewana hajawahi ujaza ila mashindano ya quran yanayoratibiwa na kamati za kitaifa na kimataifa ndio yanaujaza uwanja ila sio Kishki anaujaza. Naomba sasa ufute na ukanushe kauli yako kuwa "Kishki anaujaza uwanja"
Unajua tofauti ya huduma na kamati za kimataifa za mashindano?Daaah! Una kichwa kigumu wewe, kwahiyo huyo mwamposa kila kitu kaandaa yeye bila kamati?
Utajua kwa kusoma maandiko kwani yapo wazi.Tunapokea Kibali cha Upako hapa mkuu.
Kumtaja kristo sio jambo rahisi.
Utajuaje mtu anayemtaja kristo ni tapeli na mungo?
Dini ni imani mfano yeye akimtaja kristo ,sisi tunaamini hivyo hata kama yeye kichwani anaamini kristo wake wa duniani.
Kama watu wanatoa pesa na wanapokea matamanio ya mioyo yao, yaani wanafanikishwa, acha watoe, ukidhani nivirahisi, itisha kongamano na wewe uone kama utawapata hao watu. Tusiwe na mawazo yenye mlengo hasi tu, tujifunze pia kwanini Boniphace Mwamposa kafanikiwa hivi na iwe chachu kwenye maisha yetu
hapa ndipo unaona akili za mwafrika mavi matope1 Yamejazana na akili ndogo mavi. haya majuha Ukiyaambia kuwa kila mtu aje na kopo litageuka kubwa Scania bus yataleta!Bwana Yesu asifiwe?
Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.
Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.
=========
Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea
======
23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI
View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
JF ina watu wajinga sana, wanabishana kwenye vitu wasivyovijua. Ona huyuBwana Yesu alikuwa anapokea pesa/mali kutoka kwa wahitaji/wafuasi wake?
Huko kwenye vilinge hutoagi sadaka??..unapoambiwa upeleke kuku mwekundu huwa unadhani ni zawadi ile.Nilishasema naamini katika Mungu namuomba natoa kwa wenye uhitaji ila sitoenda kwenye makanisa hadi wafute sadaka
Kama inakuuma sana anzisha na wewe movement yako kuwakomboa hao unao ona wajinga.hapa ndipo unaona akili za mwafrika mavi matope1 Yamejazana na akili ndogo mavi. haya majuha Ukiyaambia kuwa kila mtu aje na kopo litageuka kubwa Scania bus yataleta!
of what use to me, acha yaliwe hela majuha including you of course, seem you are staunch believer of Mwamposa the tapeli!Kama inakuuma sana anzisha na wewe movement yako kuwakomboa hao unao ona wajinga.
#MaendeleoHayanaChama
Yani wkt nasoma hilo tangazo nawaza ndo uwe unalisoma ww au Mwamposa loud vile mnakausha sauti...na kuongea kwa nguvuuu
Imeandikwa wakina mama walimuhudumia kwa pesa na mali zao.Bwana Yesu alikuwa anapokea pesa/mali kutoka kwa wahitaji/wafuasi wake?