Mke wangu hataki- nishaurini

Mkuu MLUGU aka Mluguru..

Acha kabisa kuulizia hy haki yako kwa mwezi na zaidi.. hata yeye akihitaji, mfanyie kama anavyokufanyia wewe, Na umweleze kwa nini unafanya hivyo, kwani chanzo ni yeye...Then utatuambia.. Huwa hawanaga kabisa pumzi ya kustahimili zaidi yetu. Ni mkwala tu wa siku mbili tatu then kwishne.
 
Mi Naona tusimzungushe. Bwanae, tafuta nyumba ndogo fasta.... unamlea wa nini?
 
mnh mie naona una expectations nyingi...
b'liv me hio mara kadhaa unayopata ndio normal na ukichunguza wanandoa wengi wanapata mara hizo hizo haizidi...
she is not sex mashine you know..!!!!.

tena kwa jinsi ulivyoandika hata hauko romantic:mad2::becky::becky::becky:
hata mara hizo chache mwenzio anajilazimisha tu... :becky::becky::becky:
 
It's time tusikie hata good sides za marriage na sie kufarijika!..
Pole kaka mwenye matatizo ila sex 4 times kwa mwezi ni siyo mbaya!!

BelindaJacob, kuna mazuri mengi sana ya ndoa, ndo maana mara nyingi watu wakiingia huko huwa hawatoki. Ila kama kawaida ya binadamu, ni mara chache sana huwa wanayaweka mambo mazuri hadharani. mara nyingi huwa tunapenda kuweka hadharani tukipatwa na mambo mabaya. ulishawahi kusikia wanandoa wakawa wanaishi vizuri sana wakaita ndugu kuwaeleza kuwa Ndoa yetu ina amani sana na tunapendana sana? ila siburi kutokee mkanganyiko kidogo, kila mtu atajua.
kwa hiyo usikatishwe tamaa na hayo malalamiko, kuna mazuri mengi tu, we ingia tu na nakuambia ukweli kama utabahatika kupata best partner, you will never regret to get married. All the best
 
Pole sana kwa tatizo hilo ambalo umetuhabarisha. Tatizo hilo linawapata watu wengi idadi kubwa wakiwa wanaume. Ni bahati mbaya sana kuwa watu wengi wanapoingia katika ndoa huwa hawajui majukumu na wajibu wao wawapo katika ndoa. Mwanamme anapochumbia pamoja na mambo mengi yanayomsukuma kutaka kuona ni hilo tendo la ndoa.Tendo la ndoa likikosekana katika ndoa hapo lazima amani itoweke, wanawake wasio na busara wala kujua wajibu wao katika ndoa ni rahisi sana kumpangia mume wake masharti bila kujua hali ya mume wake na kiasi cha matamanio kwa mume wake. Haikubaliki kuamini kuwa kuna sababu za msingi za huyo mke wako kumfanya atoe sababu zozote za za kakataa kushiriki tendo la ndoa labda ziwe za ugonjwa. Niaonavyo mimi mke wako ni aina ya wale wanawake ambao ni wavivu na hajui majukumu na sababu za kufanya aitwe mke . Mke sio kupika au kufua na suala la kuolewa sio jambo la lazima ni hiari, kama alikukubalia umuoe basi hana sababu za kukupangia ratiba maana huo usumbufu anaokupa ndiyo ulioukataa hata kuamua kuoa ili pale unapohitaji basi umpate kwa wakati. Umfahamishe bayana kuwa tendo la ndoa ambalo yeye analifanya kama kitu kisicho na umuhimu ndiyo linalomfanya aitwe mke wako. Itakulazimu kuvunja ukimya tena mkiwa wawili kumweleza bayana kuwa tabia ambayo anaendelea nayo inakukwaza na huwezi kuvumilia na upuuzi huo. Suala la kuchoka halina maana yeyote maana kila mtu anachoka hizo ni sababu tu za kukupotezea muda, isitoshe huyo mke nadhani ameona msimamo wako kuwa ni dhaifu ndiyo maana anathubutu kutoa maelekezo na maagizo kama hayo. Inakupasa usimame kwenye nafasi yako kama mume na kumhakikishia kuwa huna muda tena wa kupangiwa ratiba kama daktari. Vunja ukimya, tema cheche :mad2::mad2::mad2:
 
Kaka yangu, wala usidhani jambo lingine la tofauti juu ya mkeo kama hakupendi au labda kuna sehemu nyingine anakamilisha haja zake, no!!, sisemi haya kwasababu mi ni mwanamke kwahiyo ukafikiri ninaside na mwanamke mwenzangu la! nina sema haya kwasababu ni mwanamke hivyo naelewa what happens to us. Haja zetu za mwili sio kama zenu hiyo kwanza utambue, ninyi you're always ready for a go but we are not, it happens atleast two to four times in a month tena wakati ule wa kipindi cha uchavushaji wa mayai ya kike ndipo tunakuwa na haja hiyo but siku zingine huwa hazipo, tunashiriki tu ili kumridhisha mwenzio asione upweke sana lakini sasa, inafikia mahali huwezi kuwa unajifosi tu kila siku, ndo kama hivyo sasa mkeo anakuwa hana hamu si kwa makusudi ndo tupo hivyo, thats an ordinary woman my brother do u understand me?

Una kila sababu ya kumridhisha kila akuhitajipo kwani ndivyo ikupasavyo, na yeye usimfikirie vibaya BUT something can be done kwa upande wake ili kupunguza mateso kwako walau kiduchu. First, make sure hana kazi nyingi za kumchosha kwa maana ya kwamba mwisho wa siku she is exhausted kule mfanyakazi wa ofisini kwa majukumu either ya nyumbani, au ofisini pamoja na nyumbani pia. Secondly, share with her the responsibilities for the child, sio kila kitu kimhususho mtotot afanye yeye kwasababu ndo mama, kwani wewe nepi huwezi kumbadilisha mtoto? Nasema hivi kwasababu akina mama huwa tuna spend sana na watoto tunapozaa na muda mdogo tuna concetrate kwa baba zao, sasa hilo nalo linachangia kwani wewe pia ungekuwa unampa tafu kwenye suala hilo mngebalance na hali ya kukuhitaji kimwili ingekuwa regulated, am not sure if u follow!! Do u?

Lastly, be romantic usingoje mpk usiku ufike ndo uombe, creativeness nayo inaweza kuamsha hisia zake za mwili. Take her out, change places hivyo vyote vitamu-arouse kimapenzi. Am positive anakupenda ndo maana anakufuata siku nyingine kukuomba otherwise asingekuja kabisa.

Relax man!!
 
ha ha ha - may be una pipe refu - anapata maumivu teh teh teh

Hili nalo neno...; but then, kwani mke hakuliona hilo mapema au amekuja kulishtukia tayari yuko ndani ya ndoa? or maybe alidhani atakuja kulizoea with time..?

Kuhitaji mara moja ndani ya siku mbili kama anavyosema mleta hoja does not seem to be excessive to me - issue maybe itakuwa ni round ngapi anakwenda katika hizo siku anazopewa...(mwingine bila kupiga round tano hakijaeleweka!)

By the way wana JF, what could be the optimum number of sexual encounters in a week? (tuseme, twice a week na kila siku round mbili mbili?)
 
...... Je ndani kuna upendo wa kutosha au ni amri tu na hakuna kutaniana taniana? ......... Usitegemee wewe utakuwa mume ....... kwa mkeo halafu eti utegemee mapenzi toka kwake. ......... Hebu eleza kwa uwazi mnavyoishi na huyu mke wako ndipo tutaweza kukupa ushauri hapa.
Kwanza sorry kwa kupotea maana nilitoka tena kidogo
Kwa kifupi najitahidi sana kama ni amri naziogopa sana nikielewa kuwa real women are delicate na watadanganywa haraka na kuleta taabu ndani.
Kwa kifupi yeye sasa ni mwalimu, na anajiendeleza kimasomo. Yeye ndo amekuwa kidogo na maneno ya ukali kwa mara nyingi kiasi kwamba sometimes hata hiyo kum ceduce unaogopa kwa maana ya kuwa nini kitajibiwa baada ya hilo.
Sometimes kumgusa lazima ufikirie taratibu.
Otherwise kula pamoja, na kutoka pamoja kumnunulia vitu ..ok inapokuja hapo mambo si sawa.
 
mmhj aya bwana!!!!
sjui ndoa doa au ndoana?
chache saaaaaaaaaaaana ndo utaskia mabo poooooooooooa nyngne ni dizasta tu mhhh aya !!!!!!
 
Kaka yangu, wala usidhani jambo lingine la tofauti juu ya mkeo kama hakupendi au labda kuna sehemu nyingine anakamilisha haja zake, no!!, sisemi haya kwasababu mi ni mwanamke kwahiyo ukafikiri ninaside na mwanamke mwenzangu la! nina sema haya kwasababu ni mwanamke hivyo naelewa what happens to us. Haja zetu za mwili sio kama zenu hiyo kwanza utambue, ninyi you're always ready for a go but we are not, it happens atleast two to four times in a month tena wakati ule wa kipindi cha uchavushaji wa mayai ya kike .............woman my brother do u understand me?

Una kila sababu ya kumridhisha kila akuhitajipo kwani ndivyo ikupasavyo, na yeye usimfikirie vibaya BUT something can be done kwa upande wake ili kupunguza mateso kwako walau kiduchu. First, make sure hana kazi nyingi za kumchosha ............, sasa hilo nalo linachangia kwani wewe pia ungekuwa unampa tafu kwenye suala hilo mngebalance na hali ya kukuhitaji kimwili ingekuwa regulated, am not sure if u follow!! Do u?

Lastly, be romantic usingoje mpk usiku ufike ndo uombe,........
Relax man!!
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri, sasa naelewa kuwa women are like that.

Na kuhusu kazi ndogo ndogo namsaidia sana, so far tuna mafanyakazi ambaye ni mtu mzima na anafanya most of the works at home. Lakini vilevile anakuwa na uchovu always. Lakini thanks for thse inputs
 
Kuhitaji mara moja ndani ya siku mbili kama anavyosema mleta hoja does not seem to be excessive to me - issue maybe itakuwa ni round ngapi anakwenda katika hizo siku anazopewa...(mwingine bila kupiga round tano hakijaeleweka!)

By the way wana JF, what could be the optimum number of sexual encounters in a week? (tuseme, twice a week na kila siku round mbili mbili?)

Sasa tutakwenda mbali sana,
Hiyo mkubwa ni one round each day it is done, But I could understand JFs inputs that will be also a relief to my relationship, otherwise Naogopa kwa kuangalia ndoa za wengine
sitaki kupotoka kama watu wengine
I sometimes decide and think Kuacha kabisa mambo haya ya ndoa na relationships
Kwa sababu mwisho wa haya imekuwa ni aibu tupu kwa sababu ya mambo kama haya madogo tu.
Akina FATAKI wengine wamezaliwa katiaka haya
I sometimes confuse about ndoa hasa pale mwenzio asipoelewa mambo ya peaceful resolutions
 
BelindaJacob, kuna mazuri mengi sana ya ndoa,....... mara nyingi huwa tunapenda kuweka hadharani tukipatwa na mambo mabaya. .......Ndoa yetu ina amani sana na tunapendana sana? ila siburi kutokee mkanganyiko kidogo, kila mtu atajua.
All the best

Hapa sidhani kama ni sahihi maana kuna watu wengi sana wamekuwa wakitoa ushuhuda wao kuwa wamefika miaka mingi ya ndoa zao,
Na kumshukuru Mungu, kwa wale wacha Mungu.
Tumekuwa tukisikia jubilei za ndoa miaka kadahaa.
Lakini pia unasahau kuwa kuna wanandoa kibao wameambukizwa VVU kwa sababu ya kutokuwa wazi na kuwauliza wenzao kama ni jambo la kawaida or abnprmal na wakachukua uamuzi wa kutafuta solution za kutafuta vimwana wengine ambapo wameishia kubaya?

Kwa kifupi watu wanasema pale hasa mtu anatoka nje (kwa sababu kama hizi) na hatimaye kujikwaa, au matatizo yanapotokea kwa wanaume wengi kukamatwa hata na vitoto vidogo wakitaka kimalizia haja zao baada ya kukosa haki hiyo paale panapohusika.

Anyway nimepata inpuuts nyingi na Iam still thinking always that mambo haya ni COMPLICATED sana na kama ingekuwa possible watu kicease tu hisia basi it was a good solution!
 
Mkuu MLUGU aka Mluguru..

Acha kabisa kuulizia hy haki yako kwa mwezi na zaidi.. hata yeye akihitaji, mfanyie kama anavyokufanyia wewe, Na umweleze kwa nini unafanya hivyo, kwani chanzo ni yeye...Then utatuambia.. Huwa hawanaga kabisa pumzi ya kustahimili zaidi yetu. Ni mkwala tu wa siku mbili tatu then kwishne.

Wewe usimshauri vibaya.......................na je mama "akimlia KOBISI" :becky::becky::becky::becky:
 
Hakuna ndoa bila tendo la ndoa, akili ni nywele kila mmoja na zake....
 
Back
Top Bottom