Mke wangu hataki kabisa mazoea na dada wa kazi

Mkuu inaonesha wife wako haijamini kabisaa...na huyo beki tatu ni mzuri kuliko wife wako..
Chakufanya hapo mle huyo beki tatu..uweke heshima

Aina za ushauri ni nyingi sana, kazi kwako mshauriwa
 
halafu ukute yeye anagawa tu huko nje kwahyo anafikiri na wewe ndo tabia yako
 
mkuu mi nadhan mkeo anakujua in and out yako ndo maana ana kaba hadi kivuli. ili kimjenga iman kuanzia sasa dada wa kaz awe sehem ya familia yako na si mfanyakaz alaf utatupa mrejesho
 
Baba mwenye nyumba hivi unaanze kupenda mazoea na utani na wadada wa kazi. Vitu vingine havihitaji hata ushauri.
Mkeo anajuwa hii '' weka mbali na watoto''
 
Unataniana nini sasa na binti wa kazi?
ndo mnavoanzaga ujichekeshe chekesha mara umfwanye
marufuku tena marufuku kubwa
 
Husikeni na somo hapo juu,

Yani hata akikuona unacheka naye au ukamtania ama yeye akakutania, basi moto lazima uwake chumbani, sasa unajiuliza mke wangu anataka kunijengea taswira gani kwa dada wa kazi?Nionekane mtu katili na nisiyekuwa na utani hata kidogo.

Utamaduni kama huu kweli unafaa?Mimi nadhani tunatakiwa tuishi kama ndugu tu.

Wewe baba mwenye nyumba na kuchekacheka na housegirl na kutaniana nae ukilenga nini. Hivi kila ndugu yako lazima mcheke na kutaniana? na huyo housegirl amekuambia anakuona wewe kama katili??
Jukumu la mambo ya ndani na story na housegirl ni la mkeo . Wewe toa hela za matumizi wacha mama na watoto watadeal na housegirl. Wadada wengi wamekuwa abused na wababa nyumbani kisa kucheka cheka na kutaniana.
 
Back
Top Bottom