IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,385
Standard gani asiyoweza kuihudumia mwenyewe_standard unaiishi kwa kuomba omba na kusaidiwa na wengine,..a good standard to live ni ile unayoweza kui_finance kulingana na cash flow yako mwenyewe.Jamani inategemea na standard ya huyo mke. Si vema kutoa comment kwa mtu asiyejulikana hata ana historia gani na anafananaje. Its an evil to lower down our living standards...kama mme alianza na dola 2000, basi inabidi apandishe mpaka 2500 ili ndo isiwe ndoano