Mke wangu habebeki...

Jamani inategemea na standard ya huyo mke. Si vema kutoa comment kwa mtu asiyejulikana hata ana historia gani na anafananaje. Its an evil to lower down our living standards...kama mme alianza na dola 2000, basi inabidi apandishe mpaka 2500 ili ndo isiwe ndoano
Standard gani asiyoweza kuihudumia mwenyewe_standard unaiishi kwa kuomba omba na kusaidiwa na wengine,..a good standard to live ni ile unayoweza kui_finance kulingana na cash flow yako mwenyewe.
 
hehehe FA hili ndilo nililoliongelea kwenye post iliopita. Ughaibuni ukipigika unapigika mbaya sana hizo mentality ni vyema tukaziondosha. Na ukiwaambia jamaa warudi nyumbani pia ni kosa cuz ughaibuni wengi wao wanaishi kwa matumaini kwamba ipo siku watatoka, lakini nyumbani matumaini ziro.

...hhaahha ha... ni ukweli usiopingika bana! ...


Jamani inategemea na standard ya huyo mke. Si vema kutoa comment kwa mtu asiyejulikana hata ana historia gani na anafananaje. Its an evil to lower down our living standards...kama mme alianza na dola 2000, basi inabidi apandishe mpaka 2500 ili ndo isiwe ndoano

kweli tupu!...kuna baadhi ya wake wanaishi vile walivyozoeshwa...kama ulishamzoesha high life,
kumshusha ni shughuli!
 
Wanawake wengine bana ndo wanasababisha hata wengine wakose waume wa kuwaoa wanaowajali kwa sababu ya mambo kama haya...sasa wewe kweli unatumiwa dola 1000 kila mwezi unasema haitoshi jamani yeuwiiii si nimpate mume kama huyu matatizo yangu yapungue..........

Mwaya Jamii huyo mpe piece of your mind kwa kweli asikuzingue kabisa mgombeze kidogo ajue kuwa na wewe unakasirika saa zingine...kuwa mkali kabisa...saa zingine ukali unasaidia

JS Jama umeolewa nakupa pole, na mumeo nampa pole pia mana huna heshima kwa mumeo.

''Utasemaje upate mume kama huyu....''Ina maana mume uliyenae hakufai kwa kuwa tu hana fedha?!Halafu pesa si mwisho wa matatizo.
 
mnachokisema ni kweli ila wazazi wangu wanamtetea sana..hata sijui hawewapa nini?
Hiyo ni sababu ya ziada kuona kuwa huyo ni nyoka, anatafuna na kupuliza. Anajaribu kuwarubuni wazazi wako aonekane mwema, lakini kwa wewe anafanya anayoyafanya.
 
Wengi mnamponda huyo mwanamama lakini hamjauliza hiyo pesa ni pamoja na kulipia kodi ya nyumba? Kama ndiyo wamepanga nyumba ya bei gani? Mtoto wao anasoma? kama ndiyo anasoma shule ya aina gani na anafikaje huko shule? Mke ana gari? Kama ni ndiyo ni gari la CC ngapi? Nyumbani wanalindwa na kampuni ya ulinzi?

Kuna watu wanalipa apartment kati ya US$ 700 mpaka US$ 1000. Usafir wa kumpeleka na kumchukua mtoto nursery inaweza kuwa issue kubwa kulingana na hadhi ya shule. Kwangu mimi hizo US$ 1,800 kwa wengine wenye mpaka swimming pool, KK Security guards and alarm hiyo ni pesa ndogo tuu
ungekuwa hapa karibu nikekupa hug moja la nguvu yaani kuna watu hapa bongo wanaishi maisha ya kusikitisha kuna mdada nipo nae ofsini mtoto wake wa primary kwa mwezi analipiwa 60% ya mshahara wake bado nyumba bado gari yaani anaishi kwa kuungaunga vibaya,hana saving yeyote. watu wanaitaji somo la financial management jamani
 

...

kweli tupu!...kuna baadhi ya wake wanaishi vile walivyozoeshwa...kama ulishamzoesha high life,
kumshusha ni shughuli!

Na kuna baadhi wanaume wanaotaka wake zao waishi high life ila hawataki kufacilitate kufikia hiyo high life.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wengi mnamponda huyo mwanamama lakini hamjauliza hiyo pesa ni pamoja na kulipia kodi ya nyumba? Kama ndiyo wamepanga nyumba ya bei gani? Mtoto wao anasoma? kama ndiyo anasoma shule ya aina gani na anafikaje huko shule? Mke ana gari? Kama ni ndiyo ni gari la CC ngapi? Nyumbani wanalindwa na kampuni ya ulinzi?

Kuna watu wanalipa apartment kati ya US$ 700 mpaka US$ 1000. Usafir wa kumpeleka na kumchukua mtoto nursery inaweza kuwa issue kubwa kulingana na hadhi ya shule. Kwangu mimi hizo US$ 1,800 kwa wengine wenye mpaka swimming pool, KK Security guards and alarm hiyo ni pesa ndogo tuu
Yeah_man!...umeongea kitu hapo mkuu,...nakumbuka maisha flani nimewahi kuyaishi nikiwa kwa bro kitambo kidogo ni mazuri lakn hayafai kabisa kuizoesha familia,....hapa tunahitaji kujua huyu jamaa aliichaachaje familia yake hapa bongo_asije kuwa yeye ndiye cause ya usumbufu wa mkewe.
 
Nawashukuru wandugu kwa mchango wenu wamawazo mazuri nitafanya maamuzi then jumapili nitawapa feedback..
 
Mimi huwa nawashangaa pia, ila mwisho wa siku unasema kila mtu na maisha yake, hutakiwi kuumiza kichwa kwa ajili ya maisha ya mtu.

Imagine mtu uko yuko in his 40s, anaishi kwenye viapartment uchwara, hana kazi ya maana huko warehouse ingawa na Masters degree tena kwenye field yenye market bongo. Hataki kurudi Bongo kwa (kwao na kwa mkewe) vile anaogopa kuanza au watu watamcheka. This is stupidity of all the time. Kama mambo hayajawa mazuri at you 30s ungetegemee eti iko siku yatakuwa mazuri at your 40s, tena without any efforts za kujitoa kwenye hilo dimbwi la kuajiriwa. Mtu kama huyu akiibiwa mke atamlaumu nani nae anatuma dollar mia kwa mwezi?

I pray and work hard so that I retire at 45, hapa hapa bongo.

...hhaahha....fa unaua!....
ukishazoea kipato cha kuajiriwa, ni shughuli kujiajiri!
tena kwenye system zenyewe hizo za kujuana bongo ndio kabisaaa!

anyway, ...kama asemavyo jamii01, anasoma kwanza,
labda tungemshauri amuanzishie mkewe mradi ausimamie
badala ya kumtumia pesa.
 
Yeah_man!...umeongea kitu hapo mkuu,...nakumbuka maisha flani nimewahi kuyaishi nikiwa kwa bro kitambo kidogo ni mazuri lakn hayafai kabisa kuizoesha familia,....hapa tunahitaji kujua huyu jamaa aliichaachaje familia yake hapa bongo_asije kuwa yeye ndiye cause ya usumbufu wa mkewe.
unaweza kukuta kawaacha appartment za masaki dollar 1500 kwa mwezi jamani
 
mnachokisema ni kweli ila wazazi wangu wanamtetea sana..hata sijui hawewapa nini?

Maamuzi ya maisha yako mikononi mwako na si wazazi!mwagia mbali kabla hajakumaliza!heri nusu shari kuliko shari kamili
 
Pole sana kwa kweli. Huyo ni kati ya wanawake wapumbavu wanaobomoa nyumba zao kwa mikono yao wenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mimi huwa nawashangaa pia, ila mwisho wa siku unasema kila mtu na maisha yake, hutakiwi kuumiza kichwa kwa ajili ya maisha ya mtu.

Imagine mtu uko yuko in his 40s, anaishi kwenye viapartment uchwara, hana kazi ya maana huko warehouse ingawa na Masters degree tena kwenye field yenye market bongo. Hataki kurudi Bongo kwa (kwao na kwa mkewe) vile anaogopa kuanza au watu watamcheka. This is stupidity of all the time. Kama mambo hayajawa mazuri at you 30s ungetegemee eti iko siku yatakuwa mazuri at your 40s, tena without any efforts za kujitoa kwenye hilo dimbwi la kuajiriwa. Mtu kama huyu akiibiwa mke atamlaumu nani nae anatuma dollar mia kwa mwezi?

I pray and work hard so that I retire at 45, hapa hapa bongo.
Nimekupata FA na kama umeacha mke bongo yep nakubaliana na wewe ni vyema ukajiwekea malengo na limit kwani mimi ni mmoja ya wasioamini kwamba relationship ya mbali inawork! Lakini nikimuangalia huyu jamaa nadhani amejieleza kwamba yuko huko kimasomo hivyo vijidola anavipata kwa kupigika na boksi tu, labda atujulishe nini malengo yake? atarudi baada ya masomo au ndio imetoka? maana hapa kuna mengi sana yamejificha kwenye hii stori ila mimi kama hawakuachana muda mrefu basi nashawishika kwamba mdada ameingiwa na mentality ya kwamba hazbendi wake yuko majuu hivyo na yeye anastahiki kuishi maisha ya juu.
 
Jamani huyu mke nyumba ya kwangu mwenyewe hakuna anacholipia zaidi maji na umeme nazo ninalipa mie kutoka kwenye biashara zangu ada ya mtoto nalipa mwenyewe moja kwa moja kutoka kwa bro wangu ndiye niliyemkabidhi swala la shule hakuna kitu kingine.
 
Pole sana lakini chakufanya kama bado unampenda na unataka kua nae mueleze kua unataka abadilike,haijalishi kama anapendwa na wazazi au anapenda na mawifi siku pesa ziikisha hatokua na wewe huyo, kama ulikua unapeleka 1000usd sasa peleka 500 nyengine weka mtoto usimpeleke muachie sababu yeye ni mama akisema pesa haitoshi mwambie ajipange itoshe au akueleze matumizi yake yakoje,manake utakuja kujuta baadae,pole sana hawa wanawake wengine wanatutukanisha sana kwa ujinga wao basi hapo hana chamana anunue bazee cm mpya achukue pesa amchangie shoga anaharusi ya mdogo wake ,aende Twanga akatajwe jina ndio ajione na yeye mjini yupo puka chaka....
 
Yeah_suali la msingi sana hili,..maake kuna makabila mengine hawaridhiki mkuu...wengi tu wahanga wa hili
Kama kuna ukweli wa hilo katika red ni sehemu ndogo sana. Nisingependa tuwahukumu watu wote wa kabila moja kuwa wana tabia moja. Kama ni tatizo la kutotosheka inaweza kuwa ni ulimbukeni wa huyo dada, kutokuwa na fikira za mipango ya baadaye na kukosa huruma. Bila ya kutumia jazba, tuangalie bajeti yake ya mwezi inaendaje - matumizi ya kila siku na ya mwezi au miezi kadhaa mara moja kama vile nguo na elimu ya mtoto.
Vyovyote iwavyo, mtu anapaswa kuishi "kwa kujikuna ajipatapo", tunapoanza kujilinganisha na walio juu yetu ndio mara nyingi tunaharibikiwa.
 
Back
Top Bottom