Ivi km una mke wako,umegundua anatembea nje ya ndoa waziwazi bila vifisho na una vithibitisho,ukaamua kumfukuza,mkatengana kln akiwa na ujauzito wako na sio kutoka nje tu ila na matatizo mengine ikiwemo kutoshiriki vzr na ww tendo la ndoa na heshima ya km mume kwake haipo,baada ya kutengana,miezi mi nne akakuendea kwa mganga ukamrudisha baadae ukapata ushahidi alikuendea kwa mganga na wewe una mwanamke mwingine uliamua kuwa nae baada ya matatizo ila umeamua kumrudisha jifungue kwanza ila hujui cha kufanya na mtoto hujui km ni wako,sasa nimuoe huyo mwanamke mwingine atunze watoto au kumsamehe huyu huyu na yote alofanya?lkn kila ukimuona amani haipo?nisaidieni jamani