Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF...
Naandika huku nafsi yangu ikiwa na majonzi makubwa.
Mke wangu wa ndoa tuna miaka 8 toka tufunge ndoa, tumejaliwa kupata watoto 2 mapacha wa kiume na kike.
Lakini taingia mwaka juzi kabadilika kaanza vituko nyumbani, sio kawaida yake ananipiga na vitu bila sababu.
Kaenda mbali zaidi ananiambia lazima nikitoka kazini niwahi kufika nyumbani nikae na watoto yeye yupo bize..
Kanilizimisha nimjengee nyumba kwao Same nimemjengea nyumba kubwa tu lakini hana shukurani..
Tendo la ndoa napewa mara moja kwa mwezi nikihoji napigwa na mwiko..
Kila baada ya wiki anasema anasafiri anakwenda kwenye semina nibaki na watoto.
Ndugu zangu nisaidieni nifanyeje??
Naandika huku nafsi yangu ikiwa na majonzi makubwa.
Mke wangu wa ndoa tuna miaka 8 toka tufunge ndoa, tumejaliwa kupata watoto 2 mapacha wa kiume na kike.
Lakini taingia mwaka juzi kabadilika kaanza vituko nyumbani, sio kawaida yake ananipiga na vitu bila sababu.
Kaenda mbali zaidi ananiambia lazima nikitoka kazini niwahi kufika nyumbani nikae na watoto yeye yupo bize..
Kanilizimisha nimjengee nyumba kwao Same nimemjengea nyumba kubwa tu lakini hana shukurani..
Tendo la ndoa napewa mara moja kwa mwezi nikihoji napigwa na mwiko..
Kila baada ya wiki anasema anasafiri anakwenda kwenye semina nibaki na watoto.
Ndugu zangu nisaidieni nifanyeje??