Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,771
- 59,119
We nawe. . .lizzy kama mwanamke kila siku amekua akijitahidi kukuonyesha kua humfikishi na wewe unakua huchukui hatua yoyote ile unataka afanye nini zaidi ya kuongea kwa kutumia mwiko....? huyu jamaa haja expose mambo yake vizuri hapa ukute mama haridhiki na kazi na amekua akimwambia ila jamaa amekua aki ignore hapo utajikuta watu wanamaliza kazi tu,,,... na wewe unakua unaonekana ni house girl tu japo ni mwanaume,,,,,!
Hapigwi wakati huo tu.Anapigwa kila mara.Sasa huko kutokuridhishwa ndio sababu tosha ya kumpiga mumewe? Whatever happened to couples talking and discussing things in a civilised manner?