Mke wangu ananiletea Usuperstar

Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Pole tunachokosea wanaume wa lika letu hili ni kutojua aina ya familia tunazoenda kuoa na historian ya wazazi(wakwe) hili linatuponza kwer Sasa apo huna chaguo Mwache Aishi kistar Maisha ya ndoa bhn ni zaidi yakukimbiza gurudumu la ndege mpka lipae iyo vita yake sio ndogo
 
Mwanamke wa hivyo ukimpotezea kumuomba unadhani atashtuka? Ilishawahi kunikuta hiyo,nilipotezea mpk ikafika mahali nikapoteza hisia na yeye kabisa hata avue nguo zote mbele yangu hata sishtuki.
Akaanza kulalamika yeye sasa hapo ishapita miezi sita (6) tunalala tu kama dada na kaka.
Ikafika mahali akawa anataka yeye mimi mood ilishakata tena hata afanye nini mawazo yangu hayapo.
Akaanza kulalamika kuwa eeeh wameshakuloga huko nje nikawa naishia kutabasamu tu.
Vikaendelea vingi mpk ikafika mahali nikaaga mashindano nikaanza maisha yangu mengine.
Ukishasaidia watu wa namna hii umejipalia makaa kichwani Jiandae.
Yes hatajali Kwa muda
Lkn si unaona ilifika mahali akaanza kulalamika?
Kwani alikuwa mke ,mkuu?
Yaani haya mambo bwana
 
Yes hatajali Kwa muda
Lkn si unaona ilifika mahali akaanza kulalamika?
Kwani alikuwa mke ,mkuu?
Yaani haya mambo bwana
Wanawake wana ujinga sana. Kuna dogo aged 29 nilijichanganya nikamuelewa vibaya sana. Akavimba kichwa, maringo mengi k ya kupimiwa. Tunaweza kulala lodge ya 100k na K anagoma asitoe. Kuna kipindi mpaka nilikuwa namtimua

Yule fala kila shida ndogo nilikuwa namaliza mpaka kodi.

Nikagundua uzuri na tako ndio zinamtia jeuri. Siku moja nikamuweka kikao. Nikamchana sana. Nikamwambia mtu mwenyewe umri umeenda badala ya kuniganda unaniletea jeuri. Kisha nikamkaushia. Ikawa hata wiki inaisha bila sms wala call . Baada ya mwezi anamtuma dada yake ananiuliza una mpango gani na mdogo wangu. Tukaweka conference nikamchana vibaya sana.

Sasa hivi anajichatisha dear kibao mkuu sina time hisia zilishakata. Wanawake sometimes wana ujinga sana
 
Wanawake wana ujinga sana. Kuna dogo aged 29 nilijichanganya nikamuelewa vibaya sana. Akavimba kichwa, maringo mengi k ya kupimiwa. Tunaweza kulala lodge ya 100k na K anagoma asitoe. Kuna kipindi mpaka nilikuwa namtimua

Yule fala kila shida ndogo nilikuwa namaliza mpaka kodi.

Nikagundua uzuri na tako ndio zinamtia jeuri. Siku moja nikamuweka kikao. Nikamchana sana. Nikamwambia mtu mwenyewe umri umeenda badala ya kuniganda unaniletea jeuri. Kisha nikamkaushia. Ikawa hata wiki inaisha bila sms wala call . Baada ya mwezi anamtuma dada yake ananiuliza una mpango gani na mdogo wangu. Tukaweka conference nikamchana vibaya sana.

Sasa hivi anajichatisha dear kibao mkuu sina time hisia zilishakata. Wanawake sometimes wana ujinga sana
Si unajua wenye makalio mkuu🤣wanajua hamchomoi,
Ndo maana wanawasumbua vichwa
Jamani kuweni na wadada wa kawaida tu.

Ila jmn wanawake sijui tunataka nini
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwakuwa hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yaani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kuwa nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Jiandae kisaikolojia,kuwa tayari Kwa lolote!
Hali wanao tu
Mpotezee kabisa,usimuulize lolote au kumjali Kwa Chochote!

Utakuja kuniambia
 
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Kwani brother wewe shida yako ni nini haswa? Yaan sasa hivi unachokitaka kwake haswa haswa ni nini maana km kumkamua nina uhakika umemkamua na kumzalisha umemzalisha watoto, sasa what happened bro nini shida? wewe ni mshindi acha kuishi kinyonge

Leejay49 baby ukuje
 
Ndoa ni utapeli nani kawadanganya kuoa nyie watu!! Ona sasa na shule ulimpeleka MWANAMKE HASOMESHWI haijalishi ni mke au mchumba usijipe majukukumu ya mzazi wake.
KATAA NDOA TUNZA FURAHA YAKO.
Ndoa ya mabwege tu. Mwendo ni girlfriend tu - akizingua unabwaga chini-kata mti panda mti.
 
Wanawake wana ujinga sana. Kuna dogo aged 29 nilijichanganya nikamuelewa vibaya sana. Akavimba kichwa, maringo mengi k ya kupimiwa. Tunaweza kulala lodge ya 100k na K anagoma asitoe. Kuna kipindi mpaka nilikuwa namtimua

Yule fala kila shida ndogo nilikuwa namaliza mpaka kodi.

Nikagundua uzuri na tako ndio zinamtia jeuri. Siku moja nikamuweka kikao. Nikamchana sana. Nikamwambia mtu mwenyewe umri umeenda badala ya kuniganda unaniletea jeuri. Kisha nikamkaushia. Ikawa hata wiki inaisha bila sms wala call . Baada ya mwezi anamtuma dada yake ananiuliza una mpango gani na mdogo wangu. Tukaweka conference nikamchana vibaya sana.

Sasa hivi anajichatisha dear kibao mkuu sina time hisia zilishakata. Wanawake sometimes wana ujinga sana
Tayana-wog 29 yrs kwa mwanamke kweli anapaswa kuringa? Si umri unakuwa umeenda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom