Mke wangu ananiletea Usuperstar

Unavyomfungua mwanamke na kumtoa nje kikazi, kielimu au kibiashara ni sawa na kumwambia haya sasa toka nje katombwe na mboo zingine upate ladha tofauti.
Na ile ladha akiipata mchezo unakwisha
 
Pole sana lea watoto huyo ukiona haeleweki piga chini vya kunyonga havina muda kama ni mtu mzima utanielewa ila kama unaenekeza mapenzi ujipange kuumia sana mkuu.

Kama familia yake ilishindwa kumsomesha ww ni nani ukajitoe hivyo cha msingi kama ulitaka awe mama wa watoto wako ungemuendeleza kwa upande mwingine sio kumsomesha mpe hata kabiashara ili akizingua unakata mrija mambo yanakua sio mengi
na kama alikuwa na nia ya kusomesha level ya mwisho kumsomesha mwanamke huwa ni cherehani sasa yeye kajitia ujuaji saivi unam-back fire
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Duh😢
Sipendi Mimi haya mambo
Sijui tuna shida gani wanawake 🙌
Mpotezee Kwa muda,usiombe unyumba kabisa,piga kimya!
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Katika chaka kubwa ambalo binadamu tumeingizwa na dini ni ndoa..
Very stressful
 
Makosa mawili hupaswi kuyafanya Kwa mwanamke na kama ukifanya jua ipo siku utajutia!


1. Kumuwezesha kiuchumi.
Kumtafutia kazi au kumuwezesha kiuchumi Kwa namna yoyote. Mwanamke akiwa stable kiuchumi unapoteza thamani kwake! Fanya unachoweza kumsaidia ila aendelee kuwa dependent kwako.



3. Usimsomeshe mwanamke!
Mwanamke hasomeshwi. Ukijitahidi sana kumsomesha mpeleke akasomee MAPISHI awe anakupikia Chakula home !



Sasa nyie endeleeni kujifanya mna mapenzi mengi mwisho wa siku mnakuja kulia Lia humu.
Swadakta Mzee.

Kwanza mpaka mwanamke anakubali kuolewa na wewe anaona kwamba wewe ndio mwanaume wa hadhi yake kwa muda huo kwa maana ya kielimu,kiuchumi na kijamii pia.

Ukisham-upgrade tu iwe kielimu au kiuchumi basi tayari unakuwa umempandisha daraja, na kama tayari ameshapata daraja Nini anachawaza muda huo? Kwamba wewe sio mwanaume wa hadhi yake Tena hivyo basi she deserves better.

Yes she deserves better option as her market value has increased.. haijalishi hata kama wewe ndio umemuongezea hiyo thamani.

Sasa hawa vijana wanajifanya magentlemen uchwara wanakazana kuwasomesha tu na kuwafungulia mabiashara makubwa makubwa wakiamini kwamba eti upendo wao kwa hao wanawake utaongeza, mwisho wa siku wanaishia kwenye majuto tu.
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Naijua hiyo.
Piga moyo konde mkuu.
Kwa usalama wa afya ya akili yako anza kumtoa kichwani polepole finally fanya maisha yako. Shida zake zimeisha
 
Huko pia anaweza anza kuwa busy na mafundi wenzie na wanaomuuzia vitambaa. Akaanza kurudi saa 8 usiku kisingizio amepewa order ya kushona nguo za harusi.

Mwanaume wa kisasa mwenye uelewa angependa siku akitangulia kuondoka duniani amwache mwanamke anayamudu mapambano ya maisha na elimu ndio itamsaidia.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Mwanaume wa kisasa ni specie ya mwanaume mjinga ambaye amedanganywa vingi kuhusu mwanamke na yeye akavipokea na kuamua kuishi navyo, moja wapo ni hili la kujiandaa kufa kabla ya mke wake bila kujua ina athari kubwa sana kwenye mfumo wa maisha yake.
 
sister Tayana-wog ni kweli mwanaume akimpotezea mwanamke au akimkalia kimya mwanamke yeyote hata kama sio mke wake au girlfriend lazima imuume huyo mwanamke kwasababu anakosa attention yako?
Lazima hakuna asiyependa attention,unless hakupendi,Hana time na wewe Tena!
Lazima utasikia mtu anaanza kulalamika....
Asimuulize Chochote,ajali watt tu.
 
Unasomeshaje demu?

Wenzio wanaachisha demu shule, we unasomesha?

Vitu vingine mnajitakiaga wenyewe
 
Lazima hakuna asiyependa attention,unless hakupendi,Hana time na wewe Tena!
Lazima utasikia mtu anaanza kulalamika....
Asimuulize Chochote,ajali watt tu.
Ndoa za hivi na mapito huww zinaashiria hatari kubwa, watu wakichokana ni mbaya sana
 
Hike kauli ya ukiona mwanaume amefanikiwa ujue kuna mwanamke nyuma yake ni kweli kabisa, wakina mama mtupe utulivu wa nafsi na mahaba ili tufanye yaliyo makubwa kuzilea familie zetu, mtupe amani ya kudumu na upendo usio pungukiwa ili akili yangu niwekeze kwenye kutafuta
 
Lazima hakuna asiyependa attention,unless hakupendi,Hana time na wewe Tena!
Lazima utasikia mtu anaanza kulalamika....
Asimuulize Chochote,ajali watt tu.
Naona hii ni kweli sister Tayana-wog wanawake nyie ni dhaifu sana mkikosa attention kwa mwanaume hata kwa mwanaume ambaye hauna uhusiano naole wa kimapenzi.

mfano, Nishawakaushia wanawake kadhaa ambao tunajuana lakini hatuna uhusiano wowote wa kimapenzi, baadaye nikagundua wanajisikia vibaya mimi kutowasilimia. Yaani mwanamke hawezi kushindana na mwanaume.
 
Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.

Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.

Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.

Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.

Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.

Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.

Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.

Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.

Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Bro..i think mwanamke ni kiumbe mzuri sana pale anapokosa options..Sasa wewe ulichokosea ni kumpa elimu ambayo imemfanya awe na options mbalimbali..Elimu mara nyingi humfanya mwanamke kuwa mwanaume jeuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom