Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Mimi sijuagi kitu kinaitwa kusamehe na kusahau, nachojua ni kufanya maamuzi basi...
Huyo mke sio...
Mbaya ni pale anaposhindwa kuonyesha ushirikiano kwako...
Hatakama alikua na bwana wakati haupo ilitakiwa amuweke kando kwa wakati huo....
Inaonyesha hakutafuta huyo bwana sababu ya upweke....
Ni kicheche tu
Mpige chini.. atakuua... maisha matamu kaka na afya ni mtaji
Huyo mke sio...
Mbaya ni pale anaposhindwa kuonyesha ushirikiano kwako...
Hatakama alikua na bwana wakati haupo ilitakiwa amuweke kando kwa wakati huo....
Inaonyesha hakutafuta huyo bwana sababu ya upweke....
Ni kicheche tu
Mpige chini.. atakuua... maisha matamu kaka na afya ni mtaji