( infections and hormonal imbalances). Sasa mm nauliza nipate kujua, ningejua nisinge uliza. Sijawai kukutana na hali kama hii, sijawai ndomana nmeulizaHivi kwanini watu kama nyie mnaruhusiwa kuow seriously..
Shabby and stupid..
Sasa anatoka dam ni issue ya kuleta public...
Kwenye life yako ulishawahi sikia kitu kinaitwa infections and hormonal imbalances au unakaa kama ngedere kusubiria updates za Simba na Yanga...
Tulia na mke wako nenda hospital, social media hazina msaada wowote zaidi ya kukutana na mambo ya kukupotezea muda.Sasa mm nauliza nipate kujua, ningejua nisinge uliza. Sijawai kukutana na hali kama hii, sijawai ndomana nmeuliza
Sawa boss, ila asilimia kubwa ya vitu najifunza humu ndomana nauliza, siku hizi utandawazi akuna siri kama zamani, mimi natumia social media kwa ajili ya kujifunza vitu maana nakutana na watu tofauti.Tulia na mke wako nenda hospital, social media hazina msaada wowote zaidi ya kukutana na mambo ya kukupotezea muda.
Hivi kwanini watu kama nyie mnaruhusiwa kuow seriously..
Shabby and stupid..
Sasa anatoka dam ni issue ya kuleta public...
Kwenye life yako ulishawahi sikia kitu kinaitwa infections and hormonal imbalances au unakaa kama ngedere kusubiria updates za Simba na Yanga...
Mmeenda hospital? Wanasemaje?Habari JF,
Mwezi huu nmekutana na changamoto kuhusu mke wangu maana mpaka sasa sijajua ana shida gani
Sijajua labda kama anatumia kwa sili mm sijui, nipo nae hospital now hpaMmeenda hospital? Wanasemaje?
Anatumia vidonge vya uzazi wa mpango? Au kijiti?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuuliza sio ujinga.Tulia na mke wako nenda hospital, social media hazina msaada wowote zaidi ya kukutana na mambo ya kukupotezea muda.