Mke wa Rais naye kawa Kiongozi !????

In fact it's a model cited the world over.

Hey, how come the other guy didn't get a copy?

They say no one has seen the article since it was written. I always wonder where is a copy the other signatory was given.

Laughingstocks are cited the world over, for amusement!

Where is Nyalali just when you need him, bless his soul!
 
kuhusu marekani au nchi nyingine yeyote ile sitambui katiba zao zinasema nini ktk hilo...

Sasa hilo ndio lilikuwa swali. Mwenzako alidai katiba ya Tanzania, tofauti na ya Marekani, haitambui Mke wa Rais. Sasa ya US inasemaje?
 
Sasa hilo ndio lilikuwa swali. Mwenzako alidai katiba ya Tanzania, tofauti na ya Marekani, haitambui Mke wa Rais. Sasa ya US inasemaje?

hakuna umuhimu wewote wa kujua hilo kwani sisi hatuishi marekani! kama marekani katiba yao inamtambua au haimtambui hilo ni juu yao wamarekani na watu wanaoishi huko.... sisi tunaongelea tz kama hoja asilia inavyosema... sasa kama ndivyo, basi jibu ndilo hilo kwamba katiba yetu haimtambui mke raisi zaidi ya mke au mme BASI
 
hakuna umuhimu wewote wa kujua hilo kwani sisi hatuishi marekani! kama marekani katiba yao inamtambua au haimtambui hilo ni juu yao wamarekani na watu wanaoishi huko.... sisi tunaongelea tz kama hoja asilia inavyosema... sasa kama ndivyo, basi jibu ndilo hilo kwamba katiba yetu haimtambui mke raisi zaidi ya mke au mme BASI

Hujaelewa tena.

Mchunguzi alijenga hoja inayosema kwamba Katiba ya Tanzania -tofauti na US- haimtambui Mke wa Rais. Akaulizwa, mbona hata ya US haisemi hivyo?

Ilikuwa ni katika kuchambua mifumo miwili ya Katiba kuangaliza tofauti za Kisheria. Ndio Katiba ya Kigeni ilivyokuja hapa.
 
Hujaelewa tena.

Mchunguzi alijenga hoja inayosema kwamba Katiba ya Tanzania -tofauti na US- haimtambui Mke wa Rais. Akaulizwa mbona hata ya US haisemi hivyo?

Ilikuwa ni katika kuchambua mifimo miwili ya Katiba kuangaliza tofauti za Kisheria. Ndio Katiba ya Kigeni ilivyokuja hapa.

Swadakta,

Kwa hiyo kusema

sisi tunaongelea tz kama hoja asilia inavyosema

Si sahihi kwa sababu hoja asilia imejaa na upwe kutoka TZ mpaka Marikani.
 
Mmeisha kutana na msafara wa mama wa kwanza??? Nashangaa kweli kama kuna mhimu wa pikipiki kufukuza watu njiani na magari kibao ya usalama.
 
Wa kufuata sheria yuko wapi?
Hapa watu wanatetea unga tu.
ukibisha kazi huna, ukizingatia umeajiriwa kwa msaada wamtu ambaye ameshastaafu!

Haika umenichekesha sana! Kwa hiyo kama godfaza wako amestaafu inabidi uwe very careful? duuuuhh!
 
Kama na yeye anataka kula kodi zetu si aje aombe kura za ubunge-kwanza-harafu kiti kikubwa-kama ana uwezo? shida iko wapi? Aende USEI amuulize mama Clinton aliamua kuomba kura za useneta sasa mama analindwa na kula kodi za wananchi bila kutumia jina la mumewe..hizo ndo haki sawa tunazozizungumzia..sasa wewe unapiga kelele kufungua shule za vidudu kwa mbwembwe..leo mzee kazi ikiisha na wewe unaisha.....Au anataka kufanya ya mama Mkapa? jamani cheo cha mumeo si cheo chako...hawa watu watajifunza lini? Anyway..hizo ni characteristics za banana republic..hata Zimbabwe utadhani inaendeshwa na Grace Mugabe.......Tatizo waume zao wakiondoka na wao wanapotea...wanakuwa wamebaki kukaribishwa kwenye vipaimara na send off vya majirani (kama wanaishi vizuri na watu baada ya kustaafu)
 
............huyu mama sasa inabidi atulie kwa kuwa ANAKARIBIA KWENDA LABOR....AT least misafara isiyokuwa na kichwa wala miguuu itapungua mjini!!!!!!

...AND offcourse kwa kuwa muhashimiwa kaongeza mke mpya[mpwaye rostam]....si haba bibiye akitusumbua na SHOW OF MIGHTY ZA MISAFARA NA WAPAMBE NA PRESIDENTIAL PRESS TEAM ....as if yeye ndio SHEIN!!!!...YOTE HII KUWAKOGA ...

Mh kaongeza mpwa wa RA??!!!!!!Mbona hiyo ni historia na mtoto wa Meghji je, Salama!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu,

Katiba ya US inamtambuaje mke wa rais na yetu haimtambui vipi? Unaweza kutoa vifungu vya reference?

Mimi nafikiri kama kuna mjadala uwe ni juu ya umuhimu wa safari na kama haingiliii kazi za kiutendaji ambazo zingetakiwa kuwa a strict domain ya watendaji wa serikali na siyo juu ya kwamba First Lady anasafiri mwenyewe.Kusema kuwa First Lady hawezi kusafiri mwenyewe kutakuwa ni hatua ya kwanza kuelekea kusema kwamba dada zetu hawatakiwi kutoka nje ya nyumba bila kusindikizwa na kaka, mume au ndugu wa kiume. First Lady anaweza kutumika vizuri sana katika "ceremonial duties" kama kufungua Zahanati na ku officiate mashindano ya uzuri.Siafiki First Lady kuwa na nafasi katika ushauri wa sera.

Sioni tatizo la First Lady kusafiri kivyake, anaweza kutumika vizuri kuhamasisha huduma za jamii wakati rais anafanya shughuli nyingine.Tatizo labda, kama lipo, MOJA ni gharama na umuhimu wa safari kutowiana katika "cost benefit analysis" na la pili ni kuingilia sana katika kazi za kisera za watendaji wa serikali.

Siyo kwa sababu Kikwete tu au CCM tu basi kila kitu tuwe tunaponda bila msingi.

Pundit,
kipi bora,
(i) mke wa rais kufanya hivyo viziara ambavyo vina angalau manufaa kidogo kwa taifa letu na akatumia kodi yetu kidogo (kwa ridhaa ya walio nyuma yake, na wala si kwa kuiba),
AU
(ii)kuibiwa rasilimali za taifa, hasa kwenye migodi, hifadhi za taifa, kwa mikataba mibovu pamoja na ufisadi uliokithiri km vile kwenye manununzi ya umma, EPA n.k.
Tatizo unawasikiliza sana akina dada, wao wanaweza kuwa wanaongea wakiwa na somesort of a bias, to some extent. Tatizo ni kwamba mwanaume akishajigundua kuwa ana positive attraction kwa wanawake, hamna namna ambayo unaweza ukawakwepa kuwa nao wengi. lakni sasa hii huwa inakuja inarepuccate negatively kwa mke wako (kwa waliooa) au girl friend wako, maana wale unaotembea nao lazima wapretend kuwa wanamdharau (they are however, inferior to her all the time as long as long as they still amidmirerher husband,... I mean you!). Hiyo dharau ya kusingizia lazima iambatane na kumuonea wivu mhusika, yaani mke wako au girl friend wako, na sometimes kuwa wanajaribu kumponda kwa kupuliza puliza unapokuwa uko nao!
Mimi sion tatizo kwa nini Mama Kikwete asipiwe kelele kwa kazi nzuri anayoifanya. Tupige kelele kwa hele za EPA, Richmond, n.k.
Naomba kuwasilisha
 
Huyo mama ana Stress,Mwacheni azunguke apunguze mawazo,mmewe si ana wake wawili.
 
Wacha azunguke tu,kwa sababu asipozunguka zunguka atafanya kazi gani? Kuna sehemu nyingine mikoani akienda walau mabomba ya maji yanatengenezwa na dawa zitawekwa ktk kituo cha afya walau kwa wiki moja. Msema wa kiingereza unasema hivi: Mbwa wa mbunge naye ni mbunge kwa wenzake.

Mimi namkaribisha wilayani kwetu,kwani akija zile nguzo za umeme walizolaza tanesco zitasimama ili atakapolala Mama pawe na umeme.
 
azunguke kwa kodi za nani? mmesahau huyu ndo alikuja na falsafa za mafiga matatu, akzungumza kipwani ndo tukajaziwa wabunge na madiwani butu? kwa nini wasijifunze kwa mama Mama Maria Nyerere? wapunguze kimbelembele. ninaambiwa hata watu wa usalama wa taifa, wanapata shida kubwa sana na huyu mama, hakawii kukurupuka kwenda huku na kule bila mipangilio
 
Pundit,
kipi bora,
(i) mke wa rais kufanya hivyo viziara ambavyo vina angalau manufaa kidogo kwa taifa letu na akatumia kodi yetu kidogo (kwa ridhaa ya walio nyuma yake, na wala si kwa kuiba),
AU
(ii)kuibiwa rasilimali za taifa, hasa kwenye migodi, hifadhi za taifa, kwa mikataba mibovu pamoja na ufisadi uliokithiri km vile kwenye manununzi ya umma, EPA n.k.
Tatizo unawasikiliza sana akina dada, wao wanaweza kuwa wanaongea wakiwa na somesort of a bias, to some extent. Tatizo ni kwamba mwanaume akishajigundua kuwa ana positive attraction kwa wanawake, hamna namna ambayo unaweza ukawakwepa kuwa nao wengi. lakni sasa hii huwa inakuja inarepuccate negatively kwa mke wako (kwa waliooa) au girl friend wako, maana wale unaotembea nao lazima wapretend kuwa wanamdharau (they are however, inferior to her all the time as long as long as they still amidmirerher husband,... I mean you!). Hiyo dharau ya kusingizia lazima iambatane na kumuonea wivu mhusika, yaani mke wako au girl friend wako, na sometimes kuwa wanajaribu kumponda kwa kupuliza puliza unapokuwa uko nao!
Mimi sion tatizo kwa nini Mama Kikwete asipiwe kelele kwa kazi nzuri anayoifanya. Tupige kelele kwa hele za EPA, Richmond, n.k.
Naomba kuwasilisha

Umequote hapo juu

Tatizo labda, kama lipo, MOJA ni gharama na umuhimu wa safari kutowiana katika "cost benefit analysis"

Akiviolate hili na kwenda kusuka nywele Champs-Elysee au Fifth Ave (or something not as outrageous but of the same nature) kwa dege la umma wananchi watakuwa justified kumsema.

Tatizo mpaka dakika hii ushahidi uliotolewa dhidi yake uko weak.Watu wametaja issue ya Swazi ambayo ni ya moral judgement zaidi kuliko cost benefit issue.Inawezekana ni kweli mama anapuyanga sana (and I find the argument kwamba "mwacheni apunguze mawazo kwa sababu mumewe this and that to be ridiculous, apunguze mawazo kwa indulgement inayounguza taxpayers money? si atafute marriage counselling?)

Kwa hiyo safari za mama huyu zinaweza kuwa muhimu au la, ni vigumu kupata itinerary yake ili ku-substantiate claims.Basi tupate hata anecdotal evidence, alienda wapi akafanya nini outrageous ili tujue kwamba kweli ana abuse privileges.
 
i mean she cant stay still in a box ... she wants to be recognized kwa lazima .. seems she has a lot of rivals so she wants to secure her position ... heard one time she nearly tripped on the red carpet because of mbwebwe ... she gombeyad some position in lindi jumbani kwao cant remember what .. she's the hungry type .. you remember when Amina (Mungu amrehemu) tried to advise her ... eeeeh she collected all her vidole juu group wakamponda mtoto wa watu ... guess if you can really read btn the lines you can tell it straight from her face on the telly wherever she appears

Amina tried to advice her (first lady) on what matter, please remind me
 
Pundit,
kipi bora,
(i) mke wa rais kufanya hivyo viziara ambavyo vina angalau manufaa kidogo kwa taifa letu na akatumia kodi yetu kidogo (kwa ridhaa ya walio nyuma yake, na wala si kwa kuiba),
AU
(ii)kuibiwa rasilimali za taifa, hasa kwenye migodi, hifadhi za taifa, kwa mikataba mibovu pamoja na ufisadi uliokithiri km vile kwenye manununzi ya umma, EPA n.k...........


Nakuunga mikono na miguu.
akifika sehemu mambo nakuwa mzuri barabara zitachongwa, maji mabomba kama yalikwa hayajatoa maji miaka 10 yataanza kutoka, kuna kamradi kanaweza kufunguliwa na kakawa endelevuna kusaidia wanakijiji.

Kuliko MAFISADI kina SUMAYE ambao wamejikosha wanatanua kwenye makongamano na kujifanya watu safi siku hizi eti naye anasema wanasiasa wengine ni wabinafsi
 
Mke wa RAIS alikuwa Mama MARIA NYERERE tu. Hawa wengine ni ZAIDI ya MNAVYOWAFIKIRIA. Muhimu ni kuangalia namna ya kuwa-ACCOMODATE kwenye KATIBA yetu. Namheshimu Mama Kikwete kwa kuwafundisha wanawake wa KiTz namna ya KUVAA.
 
Aende USEI amuulize mama Clinton aliamua kuomba kura za useneta sasa mama analindwa na kula kodi za wananchi bila kutumia jina la mumewe.

Hillary analindwa kutokana na wadhfa wake wa mke wa rais mstaafu na sio kwa sababu ya useneta wake. Ni hivyo hivyo kwa Chelsea.
 
Amina tried to advice her (first lady) on what matter, please remind me


She advised her that she has to prepare a written speech or atleast a highlight of whatever she was planning to say to the public during rallies ... this was during the last campaigns ..
 
Back
Top Bottom