Mke wa Rais naye kawa Kiongozi !????

mama rais analipwa kwa sheria za tanzania.
si yeye tu, kwa sheria za wizara ya mambo ya nje zilizopitishwa kama mwaka mmoja nyuma, wake/waume wa maofisa wa balozi wanatakiwa kulipwa robo ya mshahara wa waume/ wake zao kama disturbance allowance kila mwezi.
kama mama kikwete analipwa robo ya mshahara wa kikwete, basi pesa ya kutembea tu atakuwa anayo kaijaza kapu tele
 
She advised her that she has to prepare a written speech or atleast a highlight of whatever she was planning to say to the public during rallies ... this was during the last campaigns ..

shukurani kwa sana kunikumbusha
 
nadhani hawapatani na mumewe kama ujuavyo mambo ya JK.Sasa afanyaje kama si kupoteza muda ili asiongeze matatizo? Si unajua anajua kusoma kingereza siku hizi?
 
Tunajiuliza na kushangaa kuona kwamba mke wa Rais sasa naye anafanya ziara nchi nzima bila mumewe.

Katiba yetu haimtambui mke wa Rais kama ilivyo kwa US. Inakuwaje huyu mama sasa anahangaika kuliko Makamu wa Rais? Anaweza akasikika kama atakuwa akiandamana na mumewe.

JK yabidi amu-kontroo mukewe bwana sisi hatukumchagua.
Kwani wataalamu wa sheria hapa jf mnasemaje kikatiba?
 
Mama Kikwete anaalikwa kwenye shughuli mbalimbali nchini, yeye anakuwa na busara ya kukubali mialiko hiyo. Malipo yake ni nyinyi humu kumchana! Acheni hizo.
 
Afadhali tumeanza kuliona hilo. Mama huyu amekuwa kimbelembele sana; aliwahi kuchukua Gulfstream ya Rais na walinzi wake kwenda Brazili eti kupromote utalii. Bulls*%$#
 
Back
Top Bottom