Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Jamaa yangu amepata mtoto wa kiume jana.
Hivi sasa wapo kwenye malumbano makali ambapo mme anataka amuite mtoto wao jina la baba yake (jina la babu wa mtoto) lakini mke hataki anasema mtoto aitwe Lowassa.
Wakakubaliana wampe mtoto majina yote mawili lakini mke kasema jina la Lowassa ndio litatumika katika vitambulisho vyote na darasani lakini hilo jina jingine litatumika nyumbani tu lakini jamaa kagoma kabisa.
Mpaka muda huu hawajafika mwafaka, sijui kama hatapigwa mtu leo.
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Hivi sasa wapo kwenye malumbano makali ambapo mme anataka amuite mtoto wao jina la baba yake (jina la babu wa mtoto) lakini mke hataki anasema mtoto aitwe Lowassa.
Wakakubaliana wampe mtoto majina yote mawili lakini mke kasema jina la Lowassa ndio litatumika katika vitambulisho vyote na darasani lakini hilo jina jingine litatumika nyumbani tu lakini jamaa kagoma kabisa.
Mpaka muda huu hawajafika mwafaka, sijui kama hatapigwa mtu leo.
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)