Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Mwambie una kaswende
Mimi niko nje ya nyumbani(TZ) niko ugenini, kazini kwangu kuna dada wa miaka kati ya 24-30 ni mfanyakazi mwenzangu na ni mke wa mfanyakazi mwenzetu, ananitaka kwa nguvu ametumia email ameona kimya sasahivi amehamia kunitafuta kwa simu mimi sipokei wala kujibu ujumbe , naombeni ushauri maana ni kero kwangu, je nimweleze mumewe?
Unatafuta laana Prof?Mbona bahati hizi huwa hazipiti upande wangu! nimemkosea nini mungu?
Wewe ni bosi au unalipwa vizuri zaidi yake+mume wake, hivyo hilo ni chezo unatka kufanyiziwa. Mbaya zaidi wewe ni mgeni hapo kitaa, so jicheki na mambo ya blackmail.
Maisha magumu sana kwa sasa, inflation iko kwenye 30%+ wakati serikali inasema ni 14.1%.
Mimi niko nje ya nyumbani(TZ) niko ugenini, kazini kwangu kuna dada wa miaka kati ya 24-30 ni mfanyakazi mwenzangu na ni mke wa mfanyakazi mwenzetu, ananitaka kwa nguvu ametumia email ameona kimya sasahivi amehamia kunitafuta kwa simu mimi sipokei wala kujibu ujumbe , naombeni ushauri maana ni kero kwangu, je nimweleze mumewe?