Mwambie ajiue tu! wewe unamuendekeza..
Hili la kumwambia mme wake linategemeana na akili ya mwanamke. Nilishakutana na matatizo kama haya, mwanamke alikuwa ananitaka, ananisumbua sana tu. Anakuja home ananivulia nguo, wakati huo naishi peke yangu, lakini niligangamala na sikuwahi kula mzigo, kwakuwa mme wake ni rafiki yangu wa karibu sana, na sikutaka kumdhulumu rafiki yangu. Cha ajabu huyu mwanamke sijui alihisi labda baada ya kushindwa kunipata labda nitamwambia mme wake, akajipendekeza yeye kumwambia mme wake kwamba mimi namtaka na ninamsumbua sana. Nikashangaa ghafla huyu jamaa yangu ananichukia. Na yule mke asivyo na akili akaja kuniambia kwamba amemwambia kwamba namtaka. Nikawaza kwamba nikimwambia jamaa ukweli ninaweza sababisha ndoa yao ivunjike, the best way ni kukaa kimya na kukaa mbali na familia yao, niwaachie waendelee na ndoa yao kwa jinsi wanavyoona wao. So sisemi sasa utembee naye, but jiandae kwa lolote. Maana mwanamke kama huyo atakuwa na hofu kubwa kwamba wewe unaweza mwambia mme wake, kwa hiyo ili kujihami atatangulia yeye kumwambia ili wewe ukisema lisiwe na nguvu.Hana ubavu wa kujiua wala kumwambia mume wake! Anakupiga mkwara tu..endelea kumuepuka tena usiwasiliane nae kabisa..
Jamani naombeni ushauri, kuna mke wa mtu ametokea kushindwa kuzizuia hisia zake na kujikuta akinipenda na kunitaka kimapenzi. Nimejitahid sana kumpangua lakini hataki kunielewa kabisa na mpaka anatishia kujiua au kumwambia mme wake kwamba namlazimisha mapenzi endapo sitamruhusu kutembea nae! "Yeye ni mke wa mtumishi wa serikali tunaishi karibu na nnapoishi kwa kaka angu, Mme wake yupo masomoni, na mimi hapa nilipo npo masomoni" kiukwel anansumbua sana kwani naogopa sana kuvunja amri ya Mungu. Mbaya zaid aniambia eti alikosea chaguo kwa mmewe ikibidi mie ndo niwe wake wa maisha! Jaman naomben ushauri kutoka kwenu wa kunijenga mana masømo nayo yananiandama. Ahsante!
sina mke kaka ila nna mchumba wala cogopi chochote.sasa wewe mbona umebadilisha ID yako au unaogopa mkeo atakushtukia au una mdada humu unaona soo umeamua kuja na jina jipya sio...
ahsante sana kwa ushaur mzurBy Namavani,
mh...ndugu yangu muogope MUNGU usiangalie ya dunia kwani yatakupotosha na kukuangamiza, ukwel haufichic kamwe na ukijulikana elimu yako utaisahamu utaishia jela km babu Sea hivyo usisikilize ya kila mtu wala kufuata hisia zako bali fuata hekima yenye mafundisho yaliyo salama-NENO LA MUNGU ! MUNGU AKUSAIDIE.
Jamani naombeni ushauri, kuna mke wa mtu ametokea kushindwa kuzizuia hisia zake na kujikuta akinipenda na kunitaka kimapenzi. Nimejitahid sana kumpangua lakini hataki kunielewa kabisa na mpaka anatishia kujiua au kumwambia mme wake kwamba namlazimisha mapenzi endapo sitamruhusu kutembea nae! "Yeye ni mke wa mtumishi wa serikali tunaishi karibu na nnapoishi kwa kaka angu, Mme wake yupo masomoni, na mimi hapa nilipo npo masomoni" kiukwel anansumbua sana kwani naogopa sana kuvunja amri ya Mungu. Mbaya zaid aniambia eti alikosea chaguo kwa mmewe ikibidi mie ndo niwe wake wa maisha! Jaman naomben ushauri kutoka kwenu wa kunijenga mana masømo nayo yananiandama. Ahsante!
Jamani naombeni ushauri, kuna mke wa mtu ametokea kushindwa kuzizuia hisia zake na kujikuta akinipenda na kunitaka kimapenzi. Nimejitahid sana kumpangua lakini hataki kunielewa kabisa na mpaka anatishia kujiua au kumwambia mme wake kwamba namlazimisha mapenzi endapo sitamruhusu kutembea nae! "Yeye ni mke wa mtumishi wa serikali tunaishi karibu na nnapoishi kwa kaka angu, Mme wake yupo masomoni, na mimi hapa nilipo npo masomoni" kiukwel anansumbua sana kwani naogopa sana kuvunja amri ya Mungu. Mbaya zaid aniambia eti alikosea chaguo kwa mmewe ikibidi mie ndo niwe wake wa maisha! Jaman naomben ushauri kutoka kwenu wa kunijenga mana masømo nayo yananiandama. Ahsante!