zaeni , tena mtapata mapacha
Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.
Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto
ndugu to be very honest,wewe na huyo kimada chako mmenitia hasira,nyie wote ni wezi mnachostahili ni adhabu kwa kusaliti ndoa na uaminifu wa wenzi wenu tena mu wanafiki,mkifika manyumbani mnaita wenzi wenu darling kumbe unafiki tu,kwa hakika si siku nyingi mtavunja ndoa zenu, achana na hiyo dambi, maana mshahara wa dhambi daima ni mauti..kumbukeni na viapo vyenu vya ndoa......Jamani mimi nime fall love na mke wa mtu. Ananipenda nami na mpenda sana sana. Mimi pia nimeoa. Uzuri mke wangu hajajua wala mume wake hajajua. Tumesha kaa miaka mi nne ya mapenzi yana ni full shangwe. Mume wake ana uwezo mzuri tu na hata mimi pia nina uwezo, hivyo namjali sana huyo dada. Kuna baadhi ya nguzu zake wanafahamu uhusiano wangu na ndugu yaho. Huwa kila siku lazima tukutane for breakfast, lunch na jioni for a drink au pia kuchakachuana. Kweli tunapendana, saa nyingine tunatumia gari moja tunapita mjini bila kuogopa. yeye ana watoto wa2 wa kike na mimi nina watoto wa2 wakiume hivyo anataka tuzae katoto ketu kamoja ili katuunganishe. Tayari tumeshakwenda pima na wote tuko safi kwani huko nyuma tulikuwa tunatumia kondomu lakini sasa hivi tunapiga kavu kavu hivyo malovee ndo yamepamba moto.
Naomba mnishauri kuhusu hili la kuzaa nae mtoto
Nakaa Arusha ndyo. Na nimesha kuwa nae miaka kama mi nne hivi. Ushauri nilio omba ni kwamba nizae nae au la na siyo kuachana nae. Kuachana haiwezekani kabisa ni mpaka kifo kitutenganishe.
Toa kichefuchefu chako hapa weye baradhuli Mkubwa usiye na chembe ya soni! unadhani umepata...nakushauri anza kuandika wosia na kuchagua pa kukuzikia kwani hujabakiza siku nyingi...its a matter of time!