Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Wakuu habari!
CHADEMA imeendelea kujiongezea hazina ya wanawake wazuri wanaowania majimbo kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge mwezi Oktoba mwaka huu.
Kati ya wanawake hao mmoja wao ni Leticia Nyerere mke wa Madaraka Nyerere mtoto wa hayati Mwl Nyerere.
Mama huyu Leticia Nyerere anatarajia kuondoa hodhi ya Chama Cha Mapinduzi ambacho kwa kipindi cha miaka yote ya mfumo wa vyama vingi imekuwa ikitawala katika Jimbo hilo la Kwimba mkoani Mwanza bila mabadiliko yoyote ya kiuchumi na kijamii na maendeleo kwa ujumla.
CHADEMA imeendelea kujiongezea hazina ya wanawake wazuri wanaowania majimbo kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge mwezi Oktoba mwaka huu.
Kati ya wanawake hao mmoja wao ni Leticia Nyerere mke wa Madaraka Nyerere mtoto wa hayati Mwl Nyerere.
Mama huyu Leticia Nyerere anatarajia kuondoa hodhi ya Chama Cha Mapinduzi ambacho kwa kipindi cha miaka yote ya mfumo wa vyama vingi imekuwa ikitawala katika Jimbo hilo la Kwimba mkoani Mwanza bila mabadiliko yoyote ya kiuchumi na kijamii na maendeleo kwa ujumla.