FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
mambo ya wabunge kuishi Dar, kusahau majimbo yao...na kwenda majimboni mwao kutafuta kula tuu, tena wengine hata uwaziri ambao ndio unakuwa kisingizio hawana...basi tu
Yuko jimbo 80% ya 2008-2009 na ndicho kinachomfanya asomeke sana ndani ya magazeti ambayo yanashughulika naye mkabala, wanaoinyatia nafasi hiyo sasa wanaiona hali halisi kuwabana kwa wapiga kura sasa wamehamia media.
Hapo pazuri sana, Dkt Ngasongwa kahamia chijijini wakuu, wanaoitaka fursa wako mjini wanatuma majeshi ya anga kumnyeshea.
Hahahaaaaaaaaa, shughuli ipo