Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 478
Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Mheshimiwa Florent Kyombo, akabidhi kompyuta Mbili shule ya Sekondari Bwabuki Ya Kata Kitobo na Shule ya Msingi Lukurungo Kata Bugandika
Ofisi ya Mbunge wakikabidhi kompyuta hiyo kwa niaba ya Mheshimiwa Kyombo wamesema, utoaji wa kompyuta hizo ni mwendelezo wa zoezi la Mhe. Kyombo la kutimiza ahadi na maombi mbalimbali katika Shule zenye uhitaji
Walimu na wanafunzi pamoja na wanavijiji wamempongeza Mbunge Kyombo kwa kujali elimu hata kutoa vifaa hivyo ambavyo vitasaidia wanafunzi katika masomo yao na kupunguza changamoto na vifaa hivyo ambavyo vitakuwa msaada mkubwa katika kuongeza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji.
Mama Samia kipenzi cha watanzania kazi iendelee
Mhe. Florent Kyombo kijana shupavu mwenye mapenzi na Jimbo lake kazi iendelee
Madiwani wote wa Wilaya Missenyi kazi iendelee
Ofisi ya Mbunge wakikabidhi kompyuta hiyo kwa niaba ya Mheshimiwa Kyombo wamesema, utoaji wa kompyuta hizo ni mwendelezo wa zoezi la Mhe. Kyombo la kutimiza ahadi na maombi mbalimbali katika Shule zenye uhitaji
Walimu na wanafunzi pamoja na wanavijiji wamempongeza Mbunge Kyombo kwa kujali elimu hata kutoa vifaa hivyo ambavyo vitasaidia wanafunzi katika masomo yao na kupunguza changamoto na vifaa hivyo ambavyo vitakuwa msaada mkubwa katika kuongeza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji.
Mama Samia kipenzi cha watanzania kazi iendelee
Mhe. Florent Kyombo kijana shupavu mwenye mapenzi na Jimbo lake kazi iendelee
Madiwani wote wa Wilaya Missenyi kazi iendelee