Mke wa Askofu Gwajima Amkingia Kifua Mumewe “Mimi ni jasiri kama Simba, Mume wangu namfahamu”

so many explaination wewe unafikiri lugha ya kwenu huko kambi ya fisi, PAMBAFU
“A strong woman is self-aware. She continually tries to overcome her fears, she knows how to control herself, and she is patient no matter the situation. She isn’t afraid to reveal her feelings because we all have them, and she shows hers without caring what other people think.”
Maneno meeengi, kubali tu umekosea. Kama ulitaka kandika hivyo ungeandika Strong woman na sio strong of a woman
 
so many explaination wewe unafikiri lugha ya kwenu huko kambi ya fisi, PAMBAFU
“A strong woman is self-aware. She continually tries to overcome her fears, she knows how to control herself, and she is patient no matter the situation. She isn’t afraid to reveal her feelings because we all have them, and she shows hers without caring what other people think.”
Yani bado unaendelea kuchapia tu, "explaination" ndo nini?
 
Ni kosa kubwa la kiufundi wanawake kutuamini na ndiyo maana tunatumia huo mwanya kupiga mashuti ya mbali..
Hapo sio kwamba ana muamini ....ila anajaribu kumkingia kifua ili kuinusuru biashara yao ya kanisa isije kudoda ..... if akiachana na gwajima unadhani ukwasi ataupata wapi !?
 
Wanasema Bora ulie kuhusi matatizo yako ukiwa ndani ya Benzi .... Hicho ndio anacho jaribu kufanya huyo mwana mama
 
Mtoa mada umenichekesha sana, yaani umechapia lugha ya malkia alafu unawarekebisha kwa confidence ya simba dume mbele ya nyati.
 
Hapo sio kwamba ana muamini ....ila anajaribu kumkingia kifua ili kuinusuru biashara yao ya kanisa isije kudoda ..... if akiachana na gwajima unadhani ukwasi ataupata wapi !?
Ooh kumbe anapalilia kibarua chake cha ndoa.
 
Back
Top Bottom