Mke Mwizi!!!

ukiokota mwanamke kwenye dansi la msondo ngoma ndo matokeo yake

Sio kweli, U can still get her in the church tena a leading vocalist in church choir, and yet akawa the most kicheche u have ever seen. Mke mwizi!!!!!! Jamani hili si janga la kitaifa! Kwa ujumla mke anayekuibia she doesnt trust you! and probably she does not love you neither! So changanya na za kwako!
 
Sio kweli, U can still get her in the church tena a leading vocalist in church choir, and yet akawa the most kicheche u have ever seen. Mke mwizi!!!!!! Jamani hili si janga la kitaifa! Kwa ujumla mke anayekuibia she doesnt trust you! and probably she does not love you neither! So changanya na za kwako!

umenena lililo la busara
 
Ndugu yangu amekuja kuomba ushauri, mke wake ni mwizi, anamwibia pesa kila kukicha. Nguo zake pia huibiwa na mama watoto huyo.
Kibaya zaidi kilichomsikitisha ndugu yangu ni kuibiwa kwa mifuko ya saruji na mabati waliyotaka kuyapeleka saiti.
Mke huyo kila upotevu unapotikea, akiulizwa hajibu kitu zaidi ya kulia.
Jamaa anajiuliza amuache, awajulishe wazazi, ama ampeleke kwa wana saikoloji?
Tumshauri huyu mwenzetu nini afanye

KAma hiyo mifuko ya cement anaiba anapeleka wapi?
Hebu amwone mtaalamu wa saikolojia inawezekana mkewe ana 'hobby' ya wizi......... yaani asipoiba yeye anajihisi kama teja lililokosa dozi
 
Ana uhakika gani mke anaiba?unajua kuna mapepo yanatumwa kwa ajili ya kuharibu ndoa na ndo yanaweza yakawa yanaiba yeye anadhani mkewe,imeshatokea kwa ndugu yangu kabisa anaweka hela usiku asubuhi hamna na wako wawili tu,maombi yaliwaokoa na pengne mke analia coz haamini mume wake anaweza kumdhania mwizi?wakae pamoja waongee wajue tatizo,mi coni kwa nn mkeo aibie au haachi hela ya matumizi?

kama haachi hela ya matumizi ndo aibe?
 
kuna wifi yangu naye alikuwa mwizi kweli, anaiba nguo za mamuwe anapelekea wadogo zake.
Kuna Xmas moja yeye na mumewe wakaenda kijijini kwa wazazi wa mwanamke. Wakakuta hizo nguo zimevaliwa, pia mwanamke alikuwa ameiba tv na kuihamishia huko kwao, yaani aliona aibu sana, akawa mnyonge hadi wazazi wake wakahoji sababu za unyonge huo, akawa mkweli akasema nimeumbuka leo, nilimdanganya mume wangu kuwa hivi vitu viliibiwa akiwa safari.
Wazee wakamuombea msamaha.

mhhhhhh!!
 
Bjbj uliongea kwa mazingira ya kutokuwa na uhakika kwamba vitu huwa vinapotea tu, mwambie jamaa aweke mtego wa kuaminika, siku anamdaka uso kwa uso ni police, baadae talaka, maana mwizi katika jamii ni sawa na mchawi, wote ndo warudishao maendeleo nyuma.
 
Kuna uwezekano mkuibwa kuwa mke kanusa harufu ya wizi kwa mumewe, kwa anavyomuibia mumewe, mumewe mwenyewe havipati kihalali na kumpa mkewe hampi, sasa na yeye kaamuwa kujichukulia. Jee, mtoa mada una uhakika huyo aibiwae kuwa yeye haibi?
 
Amrudishe kwa wazazi wake..
huko kijijini kwa wazee watajua la kufanya
kwani kasha komalia na ni vigumu sana kumfunza
mtu mzima na akili zake .. ingekuwa mtoto afadhali
 
<br />
<br />
Nilijua tu lazima uniquote.

Hahaa, Dena bana!!Juzi umekataza Sredi zenye jina lako zikomeshwe,leo tena unakataza kuku-qoute...ngoja nisubirie la kesho...hope utasema tusisome comment zako!!teeheteheee
 
Hahaa, Dena bana!!Juzi umekataza Sredi zenye jina lako zikomeshwe,leo tena unakataza kuku-qoute...ngoja nisubirie la kesho...hope utasema tusisome comment zako!!teeheteheee
<br />
<br />
Umenielewa vibaya my dear sijakukataza kuniquote endelea tu kufanya kile upendacho "UHURU WA KUONGEA"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom