Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,270
Ndugu yangu amekuja kuomba ushauri, mke wake ni mwizi, anamwibia pesa kila kukicha. Nguo zake pia huibiwa na mama watoto huyo.
Kibaya zaidi kilichomsikitisha ndugu yangu ni kuibiwa kwa mifuko ya saruji na mabati waliyotaka kuyapeleka saiti.
Mke huyo kila upotevu unapotikea, akiulizwa hajibu kitu zaidi ya kulia.
Jamaa anajiuliza amuache, awajulishe wazazi, ama ampeleke kwa wana saikoloji?
Tumshauri huyu mwenzetu nini afanye
Kibaya zaidi kilichomsikitisha ndugu yangu ni kuibiwa kwa mifuko ya saruji na mabati waliyotaka kuyapeleka saiti.
Mke huyo kila upotevu unapotikea, akiulizwa hajibu kitu zaidi ya kulia.
Jamaa anajiuliza amuache, awajulishe wazazi, ama ampeleke kwa wana saikoloji?
Tumshauri huyu mwenzetu nini afanye