Mke mwenye vigezo hivi anahitajika

Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba

Sifa za mke

Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote


Nawasilisha
Kipato chako ni 150,000 kweli wataka kuoa, kuna watu wana vichaa sio bure, utajinyonga bure acha kujitafutia matatuza mtakula nini?
 
Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba

Sifa za mke

Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote


Nawasilisha
Kila la kheri mkuu.
Ila ningekushauri uangalie mtaani kwenu ama maeneo ya ibada. Pata mwanamke mcha Mungu achana na mambo mengine sijui elimu ama umbo ama umri.
 
Utampata kabisa natena watakulea watakupa hitaji la pesa utakalo napia watafurahi kukupata unasema asiwe na mtoto na bado hujajipanga kimaslahi humu wengi masingle mother labda upeleke hili tangazo kwa wazunguu ndio unaweza pata
😆😆😆
 
Bandiko kama hili la kutafuta mwenza bila baraka za Amehlo mambo yanakuwa hayajakaa mkao!
Hebu njoo utie ubani!
yaaani nimeusoma mapema sema niko na hekaheka za kusafiri nikaishia kucheka moyoni 😂

amezingua kuweka kipato cha mwezi ila Mungu amtangulie apate hitaji la moyo wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom