OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,620
- 105,781
Please nakushauri u edit hiyo post ni vyema asiwe mleviKidogo au asiwe mlevi
konyo sana wwSasa hivi Kila Mwanaume fb na insta anataka mwanamke mweusi 😀😀😀
Nna ndoto za kujiweka kwenye issues zinahusu elimuSamahani kwa usumbufu, kwanini mwalimu?
I hate youuu🤒🙄Natamani kukushauri utafute kwanza hela ila sasa umri umeenda hakuna namna. Tatuta mwalimu umpige mashine vizuri ukimuoa ujibidiishe kutumia vizuri kipato chake ili mtoboe kama familia
Kazingua Sanaa, aseeIlikuwa haina maana kuweka kipato chako cha mwezi
SawaPlease nakushauri u edit hiyo post ni vyema asiwe mlevi
Kipato chako ni 150,000 kweli wataka kuoa, kuna watu wana vichaa sio bure, utajinyonga bure acha kujitafutia matatuza mtakula nini?Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba
Sifa za mke
Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote
Nawasilisha
Amcharaze bakora akichelewa kurudi nyumbani.🤣Samahani kwa usumbufu, kwanini mwalimu?
Mibado nakusubiri wewe😜Utampata kabisa natena watakulea watakupa hitaji la pesa utakalo napia watafurahi kukupata unasema asiwe na mtoto na bado hujajipanga kimaslahi humu wengi masingle mother labda upeleke hili tangazo kwa wazunguu ndio unaweza pata
Labda kama utatumia cheti cha form 4Wale wa degree haituhusu
Kila la kheri mkuu.Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba
Sifa za mke
Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote
Nawasilisha
😆😆😆Utampata kabisa natena watakulea watakupa hitaji la pesa utakalo napia watafurahi kukupata unasema asiwe na mtoto na bado hujajipanga kimaslahi humu wengi masingle mother labda upeleke hili tangazo kwa wazunguu ndio unaweza pata
Umekuja wakati muafaka kabisa, ndio nilikua namalizia kuweka tangazo hapa mkuu..☺Wale wa degree haituhusu
Over qualification kwa hiyo mfumo utakutema!!!Labda kama utatumia cheti cha form 4
yaaani nimeusoma mapema sema niko na hekaheka za kusafiri nikaishia kucheka moyoni 😂Bandiko kama hili la kutafuta mwenza bila baraka za Amehlo mambo yanakuwa hayajakaa mkao!
Hebu njoo utie ubani!