Mke mwenye vigezo hivi anahitajika

Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba

Sifa za mke

Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote


Nawasilisha
nawaona wengi mno pale kawe kwa Mwamposa aise wanasalimia kwa heshima hao 🐒

R I P Laigwanan comrade ENL
 
Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba

Sifa za mke

Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote


Nawasilisha
Kumbe una 35 na kila siku unaandika Pumba?
 
Asante kwa kuniita kwenye fursa, nina vigezo 90% isipokuwa rangi na elimu.

Ngoja nione namna gani ya kuyajenga na mleta mada! Ila sasa itabidi niachike kwanza.

Halafu utaniambia kwanini umeniita hapa 🤣
Ahaaaa... ati kwa nini nimekuita? Nimekuita kwa sababu uandishi na mchango wako unaonyesha wewe ni mtulivu, huna makeke na unafikiri kabla ya kujibu. Nandani ni mke material, kama uko available. Na pia sijaona kama siku mbili tatu sijaona mchango wako nikajuiliza umepotea wapi?
 
Ahaaaa... ati kwa nini nimekuita? Nimekuita kwa sababu uandishi na mchango wako unaonyesha wewe ni mtulivu, huna makeke na unafikiri kabla ya kujibu. Nandani ni mke material, kama uko available. Na pia sijaona kama siku mbili tatu sijaona mchango wako nikajuiliza umepotea wapi?
Sema i miss you bila kusema i miss you! 😅 okay i miss you too, Jokes aside Yah hizi 2-3 days nilikua a bit occupied.

But niko poa kabisa. How are you……
 
Sema i miss you bila kusema i miss you! 😅 okay i miss you too, Jokes aside Yah hizi 2-3 days nilikua a bit occupied.

But niko poa kabisa. How are you……
''Sema i miss you bila kusema i miss you!'' Hapa sasa ndiyo unaonyesha rangi halisi za binti kiziwi . Maneno machache lakini yanaonyesha kichwani kulivyochangamka. Umenisoma na kunielewa kama kitabu cha Bulicheka. Mimi sijambo kabisa ila kama kila mtu anavyolalamika.... maisha magumu...
 
''Sema i miss you bila kusema i miss you!'' Hapa sasa ndiyo unaonyesha rangi halisi za binti kiziwi . Maneno machache lakini yanaonyesha kichwani kulivyochangamka. Umenisoma na kunielewa kama kitabu cha Bulicheka. Mimi sijambo kabisa ila kama kila mtu anavyolalamika.... maisha magumu...
Sisi waumini tuko kwenye mfungo ngoja tuendelee kuombeana, mimi tangu napata akili nasikia tu maisha ni magumu, so nadhani ugumu ndio maisha yenyewe.

Tuendelee kupambana.
 
Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba

Sifa za mke

Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote


Nawasilisha
Ngoja nipate kazi nije tujazie kidogo iyo 150K.. sawa future hubby.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom