Mke msemakweli

Globu

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
8,571
2,068
Mume alimuuliza mkewe, 'Mke wangu mpenzi hivi ushavunja uaminifu mara ngapi? MKE. 'siku moja nililala na mwenye nyumba kwasababu alikuwa anadai kodi' MUME'si mbaya sana'. MKE'mara ya pili siku ulipofanyiwa operation tukiwa hatuna pesa, ilibidi nilale na Doctor ili utibiwe'.MUME'kweli unanijali mke wangu'.MKE'mara ya tatu ni kile kipindi cha uchaguzi ulipokuwa unaomba kura ikabidi nilale na wapiga kura wako wote ili wakupigie kura'. MUME'tobaaa twende kwa babu ukapate kikombe FASTA.
 
Mume alimuuliza mkewe, 'Mke wangu mpenzi hivi ushavunja uaminifu mara ngapi? MKE. 'siku moja nililala na mwenye nyumba kwasababu alikuwa anadai kodi' MUME'si mbaya sana'. MKE'mara ya pili siku ulipofanyiwa operation tukiwa hatuna pesa, ilibidi nilale na Doctor ili utibiwe'.MUME'kweli unanijali mke wangu'.MKE'mara ya tatu ni kile kipindi cha uchaguzi ulipokuwa unaomba kura ikabidi nilale na wapiga kura wako wote ili wakupigie kura'. MUME'tobaaa twende kwa babu ukapate kikombe FASTA.

Great!!!!
 
sijaipenda wala nn, huyo si mke msema kweli ila ni muongo...haiwezekani alale na wapiga kura wote
 
mume alimuuliza mkewe, 'mke wangu mpenzi hivi ushavunja uaminifu mara ngapi? Mke. 'siku moja nililala na mwenye nyumba kwasababu alikuwa anadai kodi' mume'si mbaya sana'. Mke'mara ya pili siku ulipofanyiwa operation tukiwa hatuna pesa, ilibidi nilale na doctor ili utibiwe'.mume'kweli unanijali mke wangu'.mke'mara ya tatu ni kile kipindi cha uchaguzi ulipokuwa unaomba kura ikabidi nilale na wapiga kura wako wote ili wakupigie kura'. Mume'tobaaa twende kwa babu ukapate kikombe fasta.

tehe tehe,huyu my wife wake noma...
 
heee nakubwa haya, yaani niwape kipochi manyoya changu wapiga kura? Watakudandia na kura hawatokupigia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom