Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,571
- 2,068
Mume alimuuliza mkewe, 'Mke wangu mpenzi hivi ushavunja uaminifu mara ngapi? MKE. 'siku moja nililala na mwenye nyumba kwasababu alikuwa anadai kodi' MUME'si mbaya sana'. MKE'mara ya pili siku ulipofanyiwa operation tukiwa hatuna pesa, ilibidi nilale na Doctor ili utibiwe'.MUME'kweli unanijali mke wangu'.MKE'mara ya tatu ni kile kipindi cha uchaguzi ulipokuwa unaomba kura ikabidi nilale na wapiga kura wako wote ili wakupigie kura'. MUME'tobaaa twende kwa babu ukapate kikombe FASTA.