Mke mlevi na mpenda starehe!

mkuu
chunguza sana utagundua kuna watu 'hawaendi polisi au mahakamani'
au popote pale kushtaki...
ukiwaona huko ujue wanashitakiwa na sio kushitaki
sometimes in life we choose to be victims or not.....

wote wanaopigana barabarani au kuwapiga wake zao na waume zao
wangepelekwa kushitakiwa 'pangekuwa hapatoshi'

ukifuata sheria hata kumpiga mwanao ni kosa
kuongea matusi hadharani ni kosa

akili mu kichwa....
The Boss, kumpiga mkeo, mwanao ni kumdumaza ki akili na kujenga chuki isiyo kwisha. Kama ulishawahi kupigwa na baba yako/mwl wako lazima ukikumbuka hiyo moments unamchukia. Au angalia watoto wengi walio chapwa huwa hawajiamini kabisa! Kuchapa kwa ujumla ni ujinga wa hali ya juu! ndiyo maana kuna nchi ukimchapa mtoto anakuja kuchukuliwa na state, na analelewa na familia nyingine.
 
At the risk of sounding politically incorrect, the good book said you can't make a ho a housewife.

And so it goes.
 
The best way to stop smoking is to never start.

Hivi hizi ndoa za siku hizi hazina kipindi cha uchumba kuchunguzana na kujuana tabia kabla ya kuoana? Najua kuna kuficha makucha and all, lakini kama mtu ni extreme kiasi hiki chances are ata slip na kumpa mtu yeyote observant reason to pause.

Words to the wise, msikimbilie kuoa.

Kama vipi mna chill kwenye Kiranga's Club of Perpetual Bachelors for Eternal Balling.

Mazee unachosema ni kweli, ila kumbuka we are just ordinary people, we cant see the unseen, at the same time we cant predict the unpredictables! Remember that, every woman needs a man and so men does need women too!
 
Mazee unachosema ni kweli, ila kumbuka we are just ordinary people, we cant see the unseen, at the same time we cant predict the unpredictables! Remember that, every woman needs a man and so men does need women too!

We can't see the unseen, lakini huyu mke mlevi kaanza ulevi baada ya kuolewa? Mwanamme alivyochumbia alikuwa hajajua hili?

Hata kama every woman needs a man and vice versa, does every man need to marry a drunkard, sex crazed socialite?

Wanawake wa kuoa wameisha?

I feel for the brother, lakini matatizo mengine watu tunajitakia.Unaingia katika uchumba na mtu unajua ana matatizo halafu unategemea muujiza kutoka mbinguni.

Kama wake wenyewe ndio hawa siwezi kujilaumu kukataa kuoa.
 
The Boss, kumpiga mkeo, mwanao ni kumdumaza ki akili na kujenga chuki isiyo kwisha. Kama ulishawahi kupigwa na baba yako/mwl wako lazima ukikumbuka hiyo moments unamchukia. Au angalia watoto wengi walio chapwa huwa hawajiamini kabisa! Kuchapa kwa ujumla ni ujinga wa hali ya juu! ndiyo maana kuna nchi ukimchapa mtoto anakuja kuchukuliwa na state, na analelewa na familia nyingine.

Marehemu baba yangu aliwahi kunichapa siku moja ile mpaka nikahisi anataka kuniua. Alikasirika sana kwani alininunulia bicycle enzi zile BMX ila alinionya nisiende nayo shule, nami nikakaidi. Kwa kweli toka aliponipa kibano na akanipa sababu ya kwa nini kanichapa sikuwahi kurudia tena na sikuwahi kumchukia kwani hata nikikumbuka lile tukio huwa nacheka kwani aliamua kuitupia bicycle batini tena aliidismantle yote. Ila nilipomuomba alinitengenezea. Kuchapa mtoto kwa kumkanya inasaidia mkuu, na kama wewe unamchukia mama au babako kisa alikuchapa then laana inakufata. Utafunzwa na ulimwengu. Kumbuka hata biblia imesema japo sikumbuki kufungu. Kwamba, MTOTO ANYIMWAE KIBOKO NA MAMAYE HUWA MPUMBAVU.
 
mbona simple tu, analewa? anaenda kwenye matamasha? hakosi harusi!!! dat meanz ana hela za kutosha matumizi yake na matanuzi...hvyo mme ashikilie hvyo vyanzo vya mapato na mke akae ndani....asubuh aachiwe buku 3, aone ataendelea kufanya hizo mbwembwe.
 
We can't see the unseen, lakini huyu mke mlevi kaanza ulevi baada ya kuolewa? Mwanamme alivyochumbia alikuwa hajajua hili?

Hata kama every woman needs a man and vice versa, does every man need to marry a drunkard, sex crazed socialite?

Wanawake wa kuoa wameisha?

I feel for the brother, lakini matatizo mengine watu tunajitakia.Unaingia katika uchumba na mtu unajua ana matatizo halafu unategemea muujiza kutoka mbinguni.

Kama wake wenyewe ndio hawa siwezi kujilaumu kukataa kuoa.

Hakuwa mlevi wala mtu ma-outing! Hata kama kunywa ilikuwa a glass of wine to keep the company. Nawafahamu vizuri coz they dated for about two years consecutively, and the guy alipoamua kuoa nasi kwa sababu tulikuwa tunamfahamu binti japo kwa muonekano hakuwa na matatizo kama haya sasa. Mtu anasahau hadi mtoto wa miaka miwili jamaa inabidi awahi kumlaza mtoto? Hatari sana.
 
mbona simple tu, analewa? anaenda kwenye matamasha? hakosi harusi!!! dat meanz ana hela za kutosha matumizi yake na matanuzi...hvyo mme ashikilie hvyo vyanzo vya mapato na mke akae ndani....asubuh aachiwe buku 3, aone ataendelea kufanya hizo mbwembwe.

Hili nalo neno, tatizo linakuja kwamba yule ni mkewe, mpenziwe, sasa kama hamuelewi mumewe anataka nini je kuna haja ya kumnyang'anya biashara, kuficha funguo za gari nk na kumfanya mfungwa ndani ya nyumba, au dawa ni kumtimua?
 
katika ndoa,kuna 3 sides to any stories,upande wa mume,upande wa mke and the truth.kuna kitu kilichompelekesha huyo mke kufanya hayo yote.ila kitendo cha kutomjali hata mtoto wake is too much.na kama njia zote huyo jamaa amejaribu za kusuluhisha,asione aibu kutengana nae.maybe baadae dunia itamfunza huyo mwanamke.maisha ya stress hayafai jamani.na mwanamme akishafikia stage ya kulalamika,ujue yameshamchosha,maana wanawake ndio huwa tunapenda kulalamika
 
Hakuwa mlevi wala mtu ma-outing! Hata kama kunywa ilikuwa a glass of wine to keep the company. Nawafahamu vizuri coz they dated for about two years consecutively, and the guy alipoamua kuoa nasi kwa sababu tulikuwa tunamfahamu binti japo kwa muonekano hakuwa na matatizo kama haya sasa. Mtu anasahau hadi mtoto wa miaka miwili jamaa inabidi awahi kumlaza mtoto? Hatari sana.

Sasa kama hatari sana anachelewesha nini kumtaliki?
 
Alcoholic? Seek medical (psychological) help fast before it is too late. Mungu hapendi watu wanywe pombe. Great source of irresponsibility economocally and socially.
 
Hili nalo neno, tatizo linakuja kwamba yule ni mkewe, mpenziwe, sasa kama hamuelewi mumewe anataka nini je kuna haja ya kumnyang'anya biashara, kuficha funguo za gari nk na kumfanya mfungwa ndani ya nyumba, au dawa ni kumtimua?

no kumtimua itakuwa uamuzi wa mwisho, let him start cutoff causers.
 
Huyo kamanda inabidi siku moja azuke na mkewe kwenye viwanja anavyopenda kwenda. Na afanye hivyo kama mara tatu hivi. Katika muda huo achunguze ni nini mkewe anapenda zaidi akiwa ulevini. Baada ya hapo aanze kumsomesha ni jinsi gani familia yake inavyomkosa kwa tabia yake hiyo.
 
[h=6]Duh! mpe pole Best. Lakini mwambie lazima awe na kanuni/sheria, wanawake wa siku hizi bila terms na conditions hawaendi , maana ya ndoa ni kila mmoja kutimiza wajibu wake ndani ya makubaliano .Kama mama yuko out of laid down princilples na jitihada za kwenda kwa wazazi wake pia zimeshindwa kuleta solution ,jibu ni kum fire aangalie ustaarabu wake!

People do not marry people, not real ones anyway; they marry what they think the person is; they marry illusions and images. The exciting adventure of marriage is finding out who the partner really is!
[/h]
 
Sidhani kama huyo mke ana mapenzi ya kweli, ni biashara kichaa hiyo. Amrudishe kwa wazazi ampe muda wa kutafakari na kujirudi, kama hatobadilika ni vema wawe tu mbalimbali. Siku huyo mdada atakvomletea gongwa ndipo atavosema ningejua. Ndoa hazivunjiki naamini kama imani yangu inavosema, lakini kwa gongwa la ukimwi sasa hivi, mtanisamehe.
 
katika ndoa,kuna 3 sides to any stories,upande wa mume,upande wa mke and the truth.kuna kitu kilichompelekesha huyo mke kufanya hayo yote.ila kitendo cha kutomjali hata mtoto wake is too much.na kama njia zote huyo jamaa amejaribu za kusuluhisha,asione aibu kutengana nae.maybe baadae dunia itamfunza huyo mwanamke.maisha ya stress hayafai jamani.na mwanamme akishafikia stage ya kulalamika,ujue yameshamchosha,maana wanawake ndio huwa tunapenda kulalamika

Mie naweza kusema kuwa, ukiona mwanaume amefikia stage ya kusema yanayomsibu kwenye ndoa ujue kuna kitu hakijakaa vizuri katika hiyo ndoa. Mtu anamueleza kwa upole ni jinsi gani anavyomuhitaji mkewe lakini mke hajali.
 
mwambie ampokonye hiyo biashara mapato yote achukue mwenyewe, matumizi ya nyumba asimamie mwenyewe......akishindwa amrudishe kwao hata miezi 2 ili ashtue akili......
 
Back
Top Bottom