Mke mlevi na mpenda starehe!

Huyo jamaa pole yake maana hapo kuna hatari hata akawa na ki-mtu huko nje ana run nacho na kutumia ulevi wake kama njia ya kumtoka huyo mshikaji,imeshatokea ishu kama hiyo kwa jirani yangu kilichotokea ni kuwa mwanamke aliingia mkenge akatembea na jamaa ana ngoma na mwishowe yeye mwenyewe akaanza kutangulia mbele ya haki,bahati nzuri jamaa aliacha naye sex kitambo ndio ikawa salama yake.
 
Nani ka kuambia hivyo, kenya watoto hawachapwi kama bongo. We endelea kuchapa wanao watakuwa bogus! Kwa sababu mie sioni mantiki ya kumchapa mtoto kisa unamaliza hasira zako tu, mtoto ni mtoto anahitaji kufundishwa mema na mabaya kwa utaratibu. Ingekuwa kuchapa ni kuelewesha basi vyuo vikuu wangechapa ili wanafunzi waelewe

Unaniambia Kenya ipi? hii iliyoko kaskazini mwa nchi yetu ambayo nimeishi au Kenya ambayo lazima uvuke bahari ya mediterranian ndipo ufike............?

Kumwelekeza mtoto mema na mabaya ni sawa lakini si vibaya kumpa mtoto njukuti mbili tatu kumkumbusha ila kwa kiasi kama inavyosema Biblia " muwe watu wa kiasi".............Unataka tutengeneze taifa la watoto ambao wanaweza kuwaambia wazazi wao 'I hate you" kwa sababu hawajanunuliwa ice cream..........na mzazi unasema "Sorry my dear"
 
Nadharia zako ndugu yangu ni potofu ndizo zilizo dumaza vijana wa kitanzania walio wengi. Nakutolea mfano mdogo tu. Mimi nimeishi nchi za nje kidogo na kuweza kuona jinsi vijana wa mataifa mengine wanavyoweza kujiamini. Kwa ujumla watoto wetu sisi wa kitanzania ni vijana wasio jiamini kutokana na hulka waliojengewa na wazazi wachapa viboko, na uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana. Na ukiangalia vijana wa ulaya ambao hawachapwi wanajiamini na ni creative ukilinganisha na hao wa kitanzania wanaotishiwa na kuchapwa kila siku. Na hili suala naeleza siyo theory bali ni uhalisia niliojionea mimi mwenyewe. Au tu kwa Tanzania, ukikuta mtoto/kijana anajiamini na creative basi ukifuatilia utakuta ktk familia yake baba na mama ni wenye upendo na hawana mambo ya kuchapachapa na mtoto hupewa uhuru wa kueleza mawazo yake.

Angalia tofauti ya kimazingira na kihistoria
 
mwambie ampokonye hiyo biashara mapato yote achukue mwenyewe, matumizi ya nyumba asimamie mwenyewe......akishindwa amrudishe kwao hata miezi 2 ili ashtue akili......

Asee umekwiba mawazo yangu. Well said
 
Jana nilikuwa napata mbili tatu za baridi na jamaa yangu, katika maongezi akaniambia hana furaha ya ndoa yake. Mke wake ni anapenda pombe, analewa na watu mbalimbali anawaita 'friends', hana muda hata wa kutandika kitanda wanacholalia. Chumba chao dada wa kazi ndo anafagia, anafua, kupika na hata kutunza mtoto kwani mama hurudi mtoto akiwa amelala.

Pia kila sherehe anataka kwenda, amediriki kwenda hata kwenye Kili Awards bila ya kumshirikisha mumewe. Alipomuuliza anasema alikuwa na kaka yake, tatizo yote hayo hata ukoo wao wanapenda pombe sana. Kabila la wapenda pombe nadhani mnawajua wale wazee wa migombani walivyo!

Tatizo ni kwamba jamaa amechoka, mwanamke hashauriki, kaomba msaada hata kwao waongee na binti ila haijasaidia. Wana mtoto mmoja, jamaa ndio anahangaika kuwahi nyumbani japo akae na mtoto. Amefikia maamuzi ya kutaka kuachana na mkewe, jamaa ni msomi mzuri na ana kipato cha kujitosheleza, mke pia pamoja hana elimu ila ameweza kuendesha biashara ambayo mumewe alimuanzishia na inaendelea vizuri.

Tatizo mke ni mtu wa starehe za kulimbukia kwani wakati wanakutana hakuwa hivyo tena walikuwa na muda wa kukaa pamoja na kushauriana.

Nimeshindwa cha kumueleza japo nami nikaona labda mnaweza kutoa mchango wowote.

Over grown marriage hiyo! Imefika wakati jamaa kukubali kuwa aanze ndowa nyengine lakini ukuwaji wake awe ana ucheki asije akazidiwa tena!.
 
Tatizo hili limewahi kunikumba. Tena hivyohivyo kama ulivyoeleza. Akilewa anasema alikuwa na ndugu. Tukawa tunagombana sana, nampiga. Nikimpiga kosa linageuka kuwa la kwangu. Naulizwa kwa nini nimempiga nikawa nakosa sababu ya maana. siku moja nikaamua kwa dhamira kabisa, sitampiga tena. Akaongeza muda wa kutorudi nyumbani mapema. alikuwa anarudi saa 4-5 usiku sasa ikawa saa 6-7. Nikaa kimya kabisa, nilikuwa nimedhamiria hasa. Siku moja akarudi saa 7 usiku nikamfukuza chumbani. Kwa taratibu za kwetu ukimfukuza mwanamke chumbani na msipoyamaliza wenyewe, usipomrudusha anatakiwa kukushtaki kwa ndugu au familia ili uulizwe sababu ya kumfukuza. Bila kumpiga. Hakuenda popote kwa miezi 3 akawa analala chumba cha pili. Siku moja wakati narudi zangu home nikamkuta kaletwa hadi home getini anakula denda saa 6 usiku. Waliponiona akateremka kutoka kwenye gari lililomleta. Nikampeleka kwa dada yake jirani na mimi nikitumaini kuwa safari hii kesi itakuwa nzuri kweli kwangu. Nikasuburi siku ya kwanza .... mpaka leo mwaka wa sita hajasema sababu iliyofanya nikampeleka kwa dada yake.
Maoni yangu kwako, hana maana huyo, mtafutie sababu umfumanie umfukuze, hiyo ndio sababu kubwa. Ulevi na satarehe sio sababu tosha. Huenda na wewe unastarehe.
 
Tatizo hili limewahi kunikumba. Tena hivyohivyo kama ulivyoeleza. Akilewa anasema alikuwa na ndugu. Tukawa tunagombana sana, nampiga. Nikimpiga kosa linageuka kuwa la kwangu. Naulizwa kwa nini nimempiga nikawa nakosa sababu ya maana. siku moja nikaamua kwa dhamira kabisa, sitampiga tena. Akaongeza muda wa kutorudi nyumbani mapema. alikuwa anarudi saa 4-5 usiku sasa ikawa saa 6-7. Nikaa kimya kabisa, nilikuwa nimedhamiria hasa. Siku moja akarudi saa 7 usiku nikamfukuza chumbani. Kwa taratibu za kwetu ukimfukuza mwanamke na usipomrudusha anatakiwa kukushtaki kwa ndugu au familia ili uulizwe sababu ya kumfukuza. Bila kumpiga. Hakuenda popote kwa miezi 3 akawa analala chumba cha pili. Siku moja wakati narudi zangu home nikamkuta kaletwa hadi home getini anakula denda saa 6 usiku. Waliponiona akateremka kutoka kwenye gari lililomleta. Nikampeleka kwa dada yake jirani na mimi nikitumaini kuwa safari hii kesi itakuwa nzuri kweli kwangu. Nikasuburi siku ya kwanza .... mpaka leo mwaka wa sita hajasema sababu iliyofanya nikampeleka kwa dada yake.
Maoni yangu kwako, hana maana huyo, mtafutie sababu umfumanie umfukuze, hiyo ndio sababu kubwa. Ulevi na satarehe sio sababu tosha. Huenda na wewe unastarehe.

Yale yale nasubiri ushahidi!..yaani maandishi huwezi kuona hata picha inakushinda kusoma??...Ndoa is not all about sex, ziko na responsibillities zingine na zisipotimizwa una haki ya kuamua vinginevyo!
 
Hakuwa mlevi wala mtu ma-outing! Hata kama kunywa ilikuwa a glass of wine to keep the company. Nawafahamu vizuri coz they dated for about two years consecutively, and the guy alipoamua kuoa nasi kwa sababu tulikuwa tunamfahamu binti japo kwa muonekano hakuwa na matatizo kama haya sasa. Mtu anasahau hadi mtoto wa miaka miwili jamaa inabidi awahi kumlaza mtoto? Hatari sana.
mimi kila siku huwa nasema,na nitazidi kusema,wanaume ni wakati wa kutambua kwamba ni vema kuoa mwanamke ambae si mgeni wa starehe au outing!maana hata akikumbana navyo,hawezi kushawishika,ataona vya kawaida kabisa hawezi kuvilimbukia hadi achelewe nyumbani,alewe na asimjali hata mume!tatizo wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake washambawashamba,wakiamini ndio wake wema,kumbe ndo hawafai ,chunguza maneno yangu,utaamini!fuatilia ndoa kama kumi angalia zinazodumu ni zipi!
 
Ndo madhara ya mfumo jike huu wanawake kutaka kuishi kama wanaume awe anamnasa vibao atatulia tu.
 
......aaa bana!?.....how possible? Ushaambiwa 'friends'.....kuna fitna gani mw'mke anayekunywa na male friends, na mw'ume anayekunywa na female friends?

mkuu, hiyo dhana ya 'friends' kwa mabinti ni kichaka cha kufichia vitu vingi sana...
 
Nawashukuru ndugu zangu mliweka mchango wa mawazo yenu. In short ni kwamba naona mwanamke ndiye mwenye matatizo ya ushamba na ulimbukeni, kwani mumewe huwa anatoka nae mara kwa mara hili nalifahamu. Kuhusu mke kuchelewa kurudi ndio jamaa kayasema baada ya kuchoshwa na hali ile na ulevi kumbuka wale mnaosema jamaa hana perfomance hiyo sio sababu ya ulevi.

Nimekuwa nafuatilia ugomvi wa wanandoa mwishowe husingizia 'sexual perfomance', ndugu zangu ndoa ni sex lakini pia ni zaidi ya sex maana kuna mambo kama kumjali mwenzio, kumpongeza, kumpa moyo wakati wa ugumu, kumjali kinamna mbalimbali, kupanga maendeleo, nk. Hivi mke mlevi, kama wewe ni mwanaume mwenye kujali familia utapata muda wa kukaa nae saa ngapi? Kweli mie kwa kesi ya jamaa yangu imenipa ugumu nimejaribu kuchukua mawazo yenu nikamfowadia, japo apate picha ila hajui nayatoa wapi, sio mtu wa kwenye social media kwa sana.
 
mkuu, hiyo dhana ya 'friends' kwa mabinti ni kichaka cha kufichia vitu vingi sana...

Ukweli usiopingika, wao wanaamini a man can be just a friend, ila sisi tunajua ukweli wake, labda nyoka wa kibisa au p.u.n.g.a!
 
Marehemu baba yangu aliwahi kunichapa siku moja ile mpaka nikahisi anataka kuniua. Alikasirika sana kwani alininunulia bicycle enzi zile BMX ila alinionya nisiende nayo shule, nami nikakaidi. Kwa kweli toka aliponipa kibano na akanipa sababu ya kwa nini kanichapa sikuwahi kurudia tena na sikuwahi kumchukia kwani hata nikikumbuka lile tukio huwa nacheka kwani aliamua kuitupia bicycle batini tena aliidismantle yote. Ila nilipomuomba alinitengenezea. Kuchapa mtoto kwa kumkanya inasaidia mkuu, na kama wewe unamchukia mama au babako kisa alikuchapa then laana inakufata. Utafunzwa na ulimwengu. Kumbuka hata biblia imesema japo sikumbuki kufungu. Kwamba, MTOTO ANYIMWAE KIBOKO NA MAMAYE HUWA MPUMBAVU.


Ni kweli ndugu yangu "asiefunzwa na wazazi ............." Yaani umchukie mzazi kwa kukuchapa katika kufundisha! Bakora ni muhimu katika mafunzo. Hivyo hata mke ni vyema kumchapa katika kumjenga na kumbadilisha tabia.
 
Unaniambia Kenya ipi? hii iliyoko kaskazini mwa nchi yetu ambayo nimeishi au Kenya ambayo lazima uvuke bahari ya mediterranian ndipo ufike............?

Kumwelekeza mtoto mema na mabaya ni sawa lakini si vibaya kumpa mtoto njukuti mbili tatu kumkumbusha ila kwa kiasi kama inavyosema Biblia " muwe watu wa kiasi".............Unataka tutengeneze taifa la watoto ambao wanaweza kuwaambia wazazi wao 'I hate you" kwa sababu hawajanunuliwa ice cream..........na mzazi unasema "Sorry my dear"

Hawa ndio wale wanaorudi kutoka ulaya na jeans, raba, na laptop, achana nae, hapa ni mwendo wa viboko tu! Confidence sio kila mzungu anayo! Asitudanganye kama wengine hatujaishi huko ulaya kwake!
 
ndugu zangu ndoa ni sex lakini pia ni zaidi ya sex maana kuna mambo kama kumjali mwenzio, kumpongeza, kumpa moyo wakati wa ugumu, kumjali kinamna mbalimbali, kupanga maendeleo, nk. Hivi mke mlevi, kama wewe ni mwanaume mwenye kujali familia utapata muda wa kukaa nae saa ngapi?

well said mkuu....; tunaoa ili, among other things, tupate furaha, faraja, tujenge familia, tusaidiane kwenye mikikimikiki ya maisha n.k but ndoa nyingine ni kujitafutia ugonjwa wa moyo tu
 
Back
Top Bottom