Fab
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 757
- 14
hata mie naingia ndoani sababu wenzangu wote wana/meolewa.nataka watoto na sitapenda kuwalea peke yangu as they want both parents.sitapenda kuwa mzee bila kuwa na watoto wa kunisaidia sio utegemezi bali hata kiafya wale wasiokuwa na watoto wanazeeka vibaya'...:smilez: