WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Mbona mnakuza mambo, Issue ni mke hataki ndugu za mme na limejionyesha wazi wazi baada ya ndugu yake kuja na hakuongea chochote..
hahaha!sawa crash lkn je,,amewahi kuongea nae mara ngapi juu ya hilo kabla ya kumtimua?