Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
na nyie mmezidi kuoa mijanamke yenye tabia za ajabu ajabu......wanawake wote hawa duniani hapa we unaenda kuoa watu walio na akili za ajabu ajabu.
Uko kwenye ndoa kweli au bado? Kama bado uscheke wakunga, na ukiona mwenzio ananyolewa tia maji mdogomdogo. Na kama uko kwa ndoa huna uwezo wa kujua baada ya sekunde moja nini kinaweza tokea na kugeuza mlolongo mzima wa maisha yako. Think big.