BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Too much of something is harmful!..
Anaiombeaje familia wakati hashindi nayo, mapepo yakipanda kichwani mtu haelewi hata anachokifanya!..Ukiwa na imani hata ukijifungia chumbani na kuomba, maombi hujibiwa na Muumba!!
Anaiombeaje familia wakati hashindi nayo, mapepo yakipanda kichwani mtu haelewi hata anachokifanya!..Ukiwa na imani hata ukijifungia chumbani na kuomba, maombi hujibiwa na Muumba!!