Mke amwomba mme alale na mtu mwingine ili wapate mtaji

Kwa wanaume wa pwani huko daslam hiyo ni kawaida yao , Tanga nao wako hivyo hivyo mwanaume hufanyi kazi ukiamka asubuhi unaoga tu na kuingia mtaani kukaa vijiweni, mke nae hana kazi ila ukirudi mchana unakula wali nazi na kuku haujui hata vimetokea wapi na hauulizi

Unakuta jamaa anakaa nyumba ya urithi akitaka kutoka anamuomba mke wake hela wakati mke ni mama wa nyumbani na akipewa anapokea.
Huko ndo kuruhusu mke wako ajiuze indirect
 
ukiona mwanamke amekuwa na ujasiri wa kuja kukuomba ombi kama ilo ujue unamnyonyaga vagina na mambo mengine yanayofanana na Ayo so anakuchukulia Tu kama mwanamke mwenzake
 
Ungekua wewe ungekubari utoe utamu upewe 2M?
Maamuzi yangu mimi sio lazima yafanane na ya mwingine. As long as wao wenyewe wamekubaliana mie ni nani nione haipo sawa? Let them do it kama inawapendeza.
 
Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Dharau mbaya sana hii.

Ukiendekeza njaa kila mtu atakudharau.
 
Habari

Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)

Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.

JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?

Tembea uone mengi akii..
Tanzania kama nchi tumefikia mahari pabaya sana
 
Maamuzi yangu mimi sio lazima yafanane na ya mwingine. As long as wao wenyewe wamekubaliana mie ni nani nione haipo sawa? Let them do it kama inawapendeza.
Mkuu nimekuuliza wewe km wewe utakubari uchukue 2M ukaongeze kwenye mtaji alafu umpe Mzee Utamu akupigilie mjegeja usiku mzima?
 
Vipi kama mzee ana maradhi na anataka kumuambukiza au ni vipi akitaka kinyume na maumbile atakubali?! Aache kuuza utu wake kwaajili ya pesa
Ni sawa pesa zinatafutwa ila si kwa njia hiyo
 
Habari..iko hivi..Kuna NDUGU YANGU mmoja,tuseme Ni classmate wangu..ana MKE na WATOTO watatu..Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wajamaa..katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara.kama 2M hivi..akikubali kulala nae..demu kikawa kinamuwazisha Sana..ikabidi amwambie mmewake..mme nae kina muwazisha..amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)Mimi alieniambia Ni huyo Dada..niwashkaji Sana kwahiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo..ingawa Mr ake sijataka ambaye Ni classmate wangu sijataka ajue Kama nalijua Hilo..kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead..na anavyosema huyo Dada mme wake anaelekea kukubali..ila kwaminajili kwamba sikuhiyo nayeye amruhusu atembee na rafiki yake..Dada flani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani..JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?tembea uwone mengi akii..
Kuliwa ataliwa na hatapewa hata shilingi mia mbovu, huyo bado hajawajua wakulungwa wakitaka kitu wana mbinu za kijasusi, unaweza hata kuhaidiwa dunia

Sasa jichanganye, utachezea ukuni na ukinogewa tu utautaka mwenyewe😂
 
Ndoa imesha vunjika rasmi hiyo, wakae chini wajadili ni jinsi gani watalea hao watoto baada ya kuachana
 
Habari

Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)

Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.

JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?

Tembea uone mengi akii..0
Hiii Fedheha sasa
 
One man down
Kwa wanaume wa pwani huko daslam hiyo ni kawaida yao , Tanga nao wako hivyo hivyo mwanaume hufanyi kazi ukiamka asubuhi unaoga tu na kuingia mtaani kukaa vijiweni, mke nae hana kazi ila ukirudi mchana unakula wali nazi na kuku haujui hata vimetokea wapi na hauulizi

Unakuta jamaa anakaa nyumba ya urithi akitaka kutoka anamuomba mke wake hela wakati mke ni mama wa nyumbani na akipewa anapokea.
Huko ndo kuruhusu mke wako ajiuze indirect
Kuku tunafuga na tuna mashamba ya minazi na kwenye nyumba za urithi tumeweka wapangaji mke ndio anasimamia hapo vp
 
Mimi nazan huyo dada asisubiri kukubaliwa na mme wake yeye aende tuu maan kama aliwez kumshiriksha mme wake inamaan Tayar yeye kama mwanamke ameona jambo la msing


Mwanaume ajue ata akimkatalia ajue tuu huyo mwanamke ameshaliwa...
 
Back
Top Bottom