Sio dasalama tu mikoa mingi tu, hujasikia Ile ya Morogoro?Mkuu wanapewa mi.nimeshuhudia hayo matukio mengi sana na yapo daslamu kabisa
Ungekua wewe ungekubari utoe utamu upewe 2M?Suala limekaa vizuri tatizo je atapewa kweli hiyo 2M ?
Maamuzi yangu mimi sio lazima yafanane na ya mwingine. As long as wao wenyewe wamekubaliana mie ni nani nione haipo sawa? Let them do it kama inawapendeza.Ungekua wewe ungekubari utoe utamu upewe 2M?
Dharau mbaya sana hii.Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Tanzania kama nchi tumefikia mahari pabaya sanaHabari
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..
Mkuu nimekuuliza wewe km wewe utakubari uchukue 2M ukaongeze kwenye mtaji alafu umpe Mzee Utamu akupigilie mjegeja usiku mzima?Maamuzi yangu mimi sio lazima yafanane na ya mwingine. As long as wao wenyewe wamekubaliana mie ni nani nione haipo sawa? Let them do it kama inawapendeza.
Kuliwa ataliwa na hatapewa hata shilingi mia mbovu, huyo bado hajawajua wakulungwa wakitaka kitu wana mbinu za kijasusi, unaweza hata kuhaidiwa duniaHabari..iko hivi..Kuna NDUGU YANGU mmoja,tuseme Ni classmate wangu..ana MKE na WATOTO watatu..Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wajamaa..katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara.kama 2M hivi..akikubali kulala nae..demu kikawa kinamuwazisha Sana..ikabidi amwambie mmewake..mme nae kina muwazisha..amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)Mimi alieniambia Ni huyo Dada..niwashkaji Sana kwahiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo..ingawa Mr ake sijataka ambaye Ni classmate wangu sijataka ajue Kama nalijua Hilo..kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead..na anavyosema huyo Dada mme wake anaelekea kukubali..ila kwaminajili kwamba sikuhiyo nayeye amruhusu atembee na rafiki yake..Dada flani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani..JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?tembea uwone mengi akii..
Hiii Fedheha sasaHabari
Iko hivi, kuna ndugu yangu mmoja, tuseme ni classmate wangu ana MKE na WATOTO watatu. Sasa Kuna lizee limoja lilikuwa linamtongoza huyo MKE wa jamaa. Katika harakati zakutongozana mzee akamwambia atampa na mtaji wabiashara kama 2M hivi akikubali kulala nae. Demu kikawa kinamuwazisha sana ikabidi amwambie mme wake mme nae kinamuwazisha amkubalie akaliwe wapate kuongezea mtaji au laa..(maisha yao siyo mazuri kiundani kabisa)
Mimi alieniambia ni huyo Dada, ni washkaji sana kwa hiyo yupo huru kuniambia vitu Kama hivyo ingawa Mr ake sijataka ambaye ni classmate wangu sijataka ajue kama nalijua Hilo. Kwahiyo wife anasubiri mme wake ampe go ahead na anavyosema huyo dada mme wake anaelekea kukubali ila kwa minajili kwamba siku hiyo na yeye amruhusu atembee na rafiki yake dada fulani wako wote kwenye vikundi vya kina Mama mtaani.
JE HILISWALA LIMEEKAAJE WAKUU..?
Tembea uone mengi akii..0
One man downMr ake
One man downMr ake
Kuku tunafuga na tuna mashamba ya minazi na kwenye nyumba za urithi tumeweka wapangaji mke ndio anasimamia hapo vpKwa wanaume wa pwani huko daslam hiyo ni kawaida yao , Tanga nao wako hivyo hivyo mwanaume hufanyi kazi ukiamka asubuhi unaoga tu na kuingia mtaani kukaa vijiweni, mke nae hana kazi ila ukirudi mchana unakula wali nazi na kuku haujui hata vimetokea wapi na hauulizi
Unakuta jamaa anakaa nyumba ya urithi akitaka kutoka anamuomba mke wake hela wakati mke ni mama wa nyumbani na akipewa anapokea.
Huko ndo kuruhusu mke wako ajiuze indirect
Nitakuwa na jibu siku ikinitokea.Mkuu nimekuuliza wewe km wewe utakubari uchukue 2M ukaongeze kwenye mtaji alafu umpe Mzee Utamu akupigilie mjegeja usiku mzima?
Yaani nimechoka mieMKE AMWOMBA MME AKALIWE ILI APATE MTAJI
Yani mme akaliwe
Hii ni movie ya kitambo sana inaitwa Indecent Proposal tena muhusika anaitwa Demi MooreSuala limekaa vizuri tatizo je atapewa kweli hiyo 2M ?