JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,737
- 2,691
Da sitaki kuamini kama una mke mpoke hivi, yani mtu mmeo atembee na kijitu unaishi nacho ndani, harufu asubuhi kinaamka mnaonana na kinaingia jikoni kinampikia mmeo, kwanini usikivunje miguu. Kwa tafasil hii una mke bora sema tu amepatwa na mstuko tu na ni hasira zitapoa. Sijawahi ona mke mpole hivi angekuwa mwingine huyo binti angekuwa hana pua. Wanawake wengine wamebarikiwa upole do!!