Tetesi: Mkataba wa Bandari: Wabunge wa CCM waitwa kikaoni kesho Mchana, Juni 9, 2023

Wameshindwa kusimamia, na sio kwenye bandari tu - wameshindwa kila sehemu.
Kazi wanayoweza ni KUKOPA, KUUZA KWA HASARA na KUTEMBEZA BAKULI la kuomba misaada.
Uko sahihi, lakini pia wanayaua kwa makusudi kabisa mashirika ya umma kwa wizi, ufisadi, 10%, rushwa.

Wanatanguliza maslahi binafsi kwanza na ya CCM, familia zao na machawa wao. Hawajali maslahi ya Taifa.
 
Wanaotuona wajinga wajue Mungu ni wa wote.
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
Haijawahi kutokea labda itakuwa ndio mwanzo !
 
Mbona miradi ya mwamba Magufuli hakuna ccm yeyote aliyegusa walqa kujaribu kuisabotage?

acheni ngonjera za kijinga, Mama hatoshi hapo na sisi tumesema kitambo.
Hakuna anayeweza kupinga ! Tusidanganyane !! Lakini kama mapato ya bandarini yataongezeka kuna Ubaya gani kubinafsishwa ! Hayati Mkapa alibinafsisha Viwanda na mashirika mangapi ?! Miaka nenda rudi wanabadilishwa wakurugenzi wa Bandari lakini ufanisi ni zero ! Au tatizo lipo kwa ni akina nani wanataka kupewa kuiendesha ??!
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.
hiki ndicho kipindi cha mavuno kwao, pole Tanganyika watu wanakunyonga mchana mchana bila aibu.
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
Ukiwa unalijali Taifa la Tanzania na una AKILI TIMAMU sidhani kama unaweza kushauri mkataba wa kijinga na kipumbavu kama huu eti upitishwe,Hivi mtu anayetaka kuwekeza ni nani anayepaswa kumpangia mwenzake ni mwenye mali au mpangaji,Waafrika tunatia Aibu sana sana,yaani unawezaje kumpa mgeni bandari eneo ambalo ni la kiusalama kabisa kwa Taifa,Siku zote uongozi wa kijinga unaprove failure,yaani ndio kusema kwamba watanzania hawana AKILI kabisa ya kuendesha bandari yetu mpaka tuseme tuibinafsishe,Hv SAMIA anafeli wapi kama Raisi?Je tunataka kusema kwamba pale bandarini pana VILAZA?na kama pana ubadhilifu ni nani anaulea zaidi Raisi wa nchi yetu na CCM Yao.Basi itoshe kusema hatimae CCM mmeamua kulihatarisha Taifa letu.MUNGU ANAWAONA ENDELEENI KUVAA UJINGA KICHWANI.
 
Kwakweli kesi za hao jamaa nyingi sana kwa nini hatujifunzi? Hatuelewii? Sikio la kufa ?
 
Wanasheria wanisaidie, nataka kui-sue tume ya uchafuzi...Kunawabunge walichaguliwa kutokana na vitisho tena vitisho vya kubaguliwa kimaendeleo! Tulitishwa na rais mwendazake magu-fool tusipomchagua mgombea ubunge wa SiSieM tutanyimwa Miradi ya maendeleo hivyo tulitishwa Sasa kivipi matokeo hayo yawe halali?? Kesi ifunguliwe hata tusiposhinda LAKINI ibaki kwenye kumbukumbu kuwa kunanduli alibagua watu kiitikadi wasiwasi kwenye mikutano yake ya kampeni na akapingwa hadharani!
Tunaongelea Mkataba unaohusiana na Bandari zetu kubinafisishwa bila kikomo wewe unaanza kumshambulia Mwendazake. Wewe Kum* acha ujinga!
 
Tunaongelea Mkataba unaohusiana na Bandari zetu kubinafisishwa bila kikomo wewe unaanza kumshambulia Mwendazake. Wewe Kum* acha ujinga!
Uyo Kum* ni babaako,mamaako,mmewako na nduguzo kadhaa usinipangie chakusema na chakufikiria mpuuzi wewe!!
 
Back
Top Bottom