ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,556
- 3,773
Uko sahihi, lakini pia wanayaua kwa makusudi kabisa mashirika ya umma kwa wizi, ufisadi, 10%, rushwa.Wameshindwa kusimamia, na sio kwenye bandari tu - wameshindwa kila sehemu.
Kazi wanayoweza ni KUKOPA, KUUZA KWA HASARA na KUTEMBEZA BAKULI la kuomba misaada.
Wanatanguliza maslahi binafsi kwanza na ya CCM, familia zao na machawa wao. Hawajali maslahi ya Taifa.