Sina maelezo mengi
Huyu jamaa nampenda sana maada zake hasa linapoguswa maslahi ya upande wake.
Hasa lile swala la kwanini wakiristo wasile masokoni Zanzibar ametoa maada nzito.
Bima ya Afya nako uses emergency
Mkataba wa bandari nako ni moto
Maandiko yake yanaweza kutumika ktk literature review hata ngazi ya PHD
Haki yake apewe. Sijui kama account yake inatumiwa na user zaidi ya mmoja?Any way
Twende kwenye maada
MOU nakamuona yupo kimya sana. Haligusi wala kulinusa
Maana Mou inasaidia kujenga shule za wakiristo na Hospital. Shule hizo licha ya kutoa huduma za elimu ndani kunaingizwa imani
Kwamfano mtoto akitaka kula anafundishwa amtaje baba mwana ambapo kwa upande wa uislam haifai ndio maana waislam wanaojielewa hawawapeleki shule hizo.
Swali kwanin Martin yupo kimya?
Mod angalau uzi huu uache kama unavyoziacha nyengine za bakora za Zanzibar mwezi mtukufu wa Ramadhani
Tupe ilmu kidogo hili swala la MOU ili tupate ilmu kama unavyochambua Bima ya Afya
Cc
Meya mstaafu wa Ubungo bon Yayi popote ulipo
Huyu jamaa nampenda sana maada zake hasa linapoguswa maslahi ya upande wake.
Hasa lile swala la kwanini wakiristo wasile masokoni Zanzibar ametoa maada nzito.
Bima ya Afya nako uses emergency
Mkataba wa bandari nako ni moto
Maandiko yake yanaweza kutumika ktk literature review hata ngazi ya PHD
Haki yake apewe. Sijui kama account yake inatumiwa na user zaidi ya mmoja?Any way
Twende kwenye maada
MOU nakamuona yupo kimya sana. Haligusi wala kulinusa
Maana Mou inasaidia kujenga shule za wakiristo na Hospital. Shule hizo licha ya kutoa huduma za elimu ndani kunaingizwa imani
Kwamfano mtoto akitaka kula anafundishwa amtaje baba mwana ambapo kwa upande wa uislam haifai ndio maana waislam wanaojielewa hawawapeleki shule hizo.
Swali kwanin Martin yupo kimya?
Mod angalau uzi huu uache kama unavyoziacha nyengine za bakora za Zanzibar mwezi mtukufu wa Ramadhani
Tupe ilmu kidogo hili swala la MOU ili tupate ilmu kama unavyochambua Bima ya Afya
Cc
Meya mstaafu wa Ubungo bon Yayi popote ulipo