Kama vipi aseme niimalizie mimi
Mtoa mada anasimamia usalama wa kura Arusha.
= BANHii tabia ya kuweka episodes inapaswa wapigwe burn
= BAN
Nyanda Gojaga Aje
Naomba rukhsa kwa wana jf, kama hamto jali nifanye muendelezo?
nasubiria part 2
Kwakuwa mleta mada hakuweza kuchaji simu toka jana na kuufanya uzi huu kukosa hitimisho, mi naona kila mwwnye uwezo amalizie sehemu iliyobaki afu tutachangia mwishoni!