Najiuliza tu swali moja...ni nini kinampa ujeuri huyu Jafari? Who is behind his being on that position?
[watu walijaa na kuwakamata wale majangiri, afisa mtendaji wa eneo hilo bwana Jafari Nyaigesha akawa amefika na kuwaamuru watu wawe wapole, kweli watu walitulia na kuwachukuwa wale majambazi hadi ofisini kwa mtendaji, wakati wapo mle ndani watu walishikwa a butwaa baada ya wale majangili kumuita kwa jina bwana jafari! kumbe ni watu wanaojuana sijui kwa lipi lakini wanafahamiana.
watu walipoona hivo wakaanza kupiga kelele, kweli walienda kwenye gari na kutoa mizigo ya dada na pesa zote shilingi 40,000/= na kumrudishia yule dada, dereva alianza kudai yule ni mpenzi wake na wamegombana baadae wale majangiri waliagiza mafuta na kujaza kwenye gari, wakampa bwana Jafari sh 8,000.00 nayeye akanunua soda na kuwapa watu waliokuwepo ofisini na kuwomba yaishe huku dada akilia mithili ya mtoto mdogo kwani pamoja na maelezo yote aliyoyatoa hakuna aliyemjali
mwisho wa yote wale watu waliondoka kimchezomchezo tu huku mtendaji akiwaacha na kuwaomba watu waachane nao,
Huyu ni mtu anayeasume madaraka ya rais katika kata yake, ni mtu anayetakiwa kutekeleza sheria ya nchi, ni mtu anayetakiwa kushirikiana na polisi kuwasaka majambazi cha ajabu anashirikiana na majambazi kuwwangamiza raia wema wasiokuwa na hatia, John Mnyika haya mambo yamefanyika kwenye jimbo lako, naomba ufatilie huu mkasa, afande wa kanda maalum, naomba uingilie kati na umfatilie huyu mtendaji aseme hawa watu ni wa wapi na inawezekana ni kazi yao na wanampa fungu kwa ujangiri wao ambao unalindwa na ofisi za serrikali! wananchi wanaitafsiri vp serikali ambayo inaendeshwa kwa kodi zao?
Huyu mtendaji amekuwa kimbilio la majambazi na wahuni, anazo siri nyingi sana na akibanwa barabara atasema unless serikali iwe inajua na inasupport matendo yake!, nawasirisha]
MIMI NI MKAZI WA GOLANI - MSEWE HAPO UBUNGO. JAMANI HUYU JAFARI KASHINDIKANA, KAMA NI KUHONGA BASI KAFANIKIWA. JESHI LA POLISI LIPO MKONONI MWAKE. KAMA UNABISHA TEMBELEA VITUO VYOTE UNAVYOVIJUA VYA KINONDONI (CENTRAL SIJUI). ILA JAFARI TUMEMSHINDWA. AMEHUJUMU TENKI LA MAJI LA KIJIJI, AMEHONGA HADI WATU WA DAWASCO-KIMARA ILI WATU WA GOLANI TUSIPATE MAJI (DIWANI WETU KWA TIKETI YA CDM ANAJUA HILI). SISHANGAI KWA TAARIFA HII ULIYORIPOTI HAPA MKUU. SITABISHA HATA KIDOGO. JAFARI SIO MTU MWEMA, ANAIAIBISHA CCM, NA WASUBIRI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA UJE. FUKUZIA MBALI!XYSFTRGE!!!!!!!!
nchi yetu kamwe haiwezi kuendelea kwa kuwa na viongozi wa sampuli hii, tumekuwa tukihimiza utawala wa sheria na uwajibikaji
ni juzi kati wakati dada mmoja anatoka zake zanzibar, kafika bandarini dar es salaam, aliposhuka akaamua kukodi tex, wakati anaingia kwenye gari, dereva wa tax akazunga kutafuta abiria wengine ili wawe wengi na gharama zipungue kumbe dada wa watu anaingizwa mkenge! Baadae kama kawaida dereva aliwapata abiria wengine wawili wanaume ambao kimsingi walikuwa ni watu aliopanga nao kwa ajili ya kufanya unyama waliokuwa wameupanga!
Gari liliondoka na kuelekea kuelekea barabara ya alihasan mwinyi, dada alikuwa anaelekea makongo, gari lilipofika maeneo ya mlimani city wale abiria wawili wa nyuma walimbana dada ili asipige kelele na dereva akshika njia ya changanyikeni, walipofika lango la chuo njiapanda ya kuelekea msewe hadi baruti pale msituni walimtupa dada nje huku akiwa amenyanganywa kila kitu, mungu si athumani wakiti wanamtupa na kutokomea akatokea bodaboda, dada akaomba msaada wakaanza kulimimbiza gari, walilifata kwa kasi na kufika maeneo ya msewe primary gari liliishiwa mafuta na kuzima, bahati nzuri wakati linazima na yule dada na bodaboda wakawa wamefika na kuanza kupiga kelele
watu walijaa na kuwakamata wale majangiri, afisa mtendaji wa eneo hilo bwana jafari nyaigesha akawa amefika na kuwaamuru watu wawe wapole, kweli watu walitulia na kuwachukuwa wale majambazi hadi ofisini kwa mtendaji, wakati wapo mle ndani watu walishikwa a butwaa baada ya wale majangili kumuita kwa jina bwana jafari! Kumbe ni watu wanaojuana sijui kwa lipi lakini wanafahamiana.
Watu walipoona hivo wakaanza kupiga kelele, kweli walienda kwenye gari na kutoa mizigo ya dada na pesa zote shilingi 40,000/= na kumrudishia yule dada, dereva alianza kudai yule ni mpenzi wake na wamegombana baadae wale majangiri waliagiza mafuta na kujaza kwenye gari, wakampa bwana jafari sh 8,000.00 nayeye akanunua soda na kuwapa watu waliokuwepo ofisini na kuwomba yaishe huku dada akilia mithili ya mtoto mdogo kwani pamoja na maelezo yote aliyoyatoa hakuna aliyemjali
mwisho wa yote wale watu waliondoka kimchezomchezo tu huku mtendaji akiwaacha na kuwaomba watu waachane nao,
huyu ni mtu anayeasume madaraka ya rais katika kata yake, ni mtu anayetakiwa kutekeleza sheria ya nchi, ni mtu anayetakiwa kushirikiana na polisi kuwasaka majambazi cha ajabu anashirikiana na majambazi kuwwangamiza raia wema wasiokuwa na hatia, john mnyika haya mambo yamefanyika kwenye jimbo lako, naomba ufatilie huu mkasa, afande wa kanda maalum, naomba uingilie kati na umfatilie huyu mtendaji aseme hawa watu ni wa wapi na inawezekana ni kazi yao na wanampa fungu kwa ujangiri wao ambao unalindwa na ofisi za serrikali! Wananchi wanaitafsiri vp serikali ambayo inaendeshwa kwa kodi zao?
Huyu mtendaji amekuwa kimbilio la majambazi na wahuni, anazo siri nyingi sana na akibanwa barabara atasema unless serikali iwe inajua na inasupport matendo yake!, nawasirisha
Huyu jamaa ni jambazi sugu aliyeingia madarakani kusimamia mtandao wa majambazi wenzake.
its another silly