Mkapa: Kuhoji uhalali wa Rais Pierre Nkuruzinza ni wehu

Kwa kweli ni bora. Kuna watu wengine wanapewa kazi hazifanani nao kabisaaa.
Afrika kuna matatizo yasiyoelezeka wala yasiyotafakarika. Sasa huyu ni msuluhishi? au ni mchonganishi?
Nawashangaa hata wale waliompendekeza. Aibu kwa nchi na Afrika Mashariki kwa ujumla. Jitu zima kazi ikimshinda anaanzaga kumwaga matusi. Loh!
si pati.picha kama angekuwa rais awamu hii ya jpm
 
yaani waandishi wa habari wananiona nimepewa tofali la dhahabu kupiga nalo picha tu wanaandika ohh raisi kahongwa dhahabu ohh sijui nini na nini! Looo! wandishi gani wa habari nyinyi!

Na wale wote wanodhani Tanzania haijakombolewa na wanahitaji kuikomboa ni wapumbavu na malofa!!

Na wale wote waohoji uhalali wa utawala wa Nkurunziza ni wendawazimu!!!

Nimejifunza kuwa kunatatizo katika kichwa cha mwanadiplomasia huyo!

lakini naona aki handle suala la Burundi kama anavyohandle issue ya Zanzibar kwa remote, kakwama tayari. Issue ya Burundi saizi yake ilikuwa Mwl. Nyerere na Mzee Mandela.

Kuiokoa Burundi naomba kazi hii apewe Koffi Anan au Thabo Mbeki.
 
Mwehu ndani ya wehu khaaa patamu apo. Uyu beste mouth yake ni jalala ya soko kuu.
 
Best president ever seen in Tanzania, fluent in English, smart and systematic. Long live Benjamin, the son of a Catechist Mzee William. We love you!
huyo mzee ndie role model wangu,ukiacha madhaifu yake,the rest yuko poa!
 
yaani waandishi wa habari wananiona nimepewa tofali la dhahabu kupiga nalo picha tu wanaandika ohh raisi kahongwa dhahabu ohh sijui nini na nini! Looo! wandishi gani wa habari nyinyi!

Na wale wote wanodhani Tanzania haijakombolewa na wanahitaji kuikomboa ni wapumbavu na malofa!!

Na wale wote waohoji uhalali wa utawala wa Nkurunziza ni wendawazimu!!!

Nimejifunza kuwa kunatatizo katika kichwa cha mwanadiplomasia huyo!

lakini naona aki handle suala la Burundi kama anavyohandle issue ya Zanzibar kwa remote, kakwama tayari. Issue ya Burundi saizi yake ilikuwa Mwl. Nyerere na Mzee Mandela.

Kuiokoa Burundi naomba kazi hii apewe Koffi Anan au Thabo Mbeki.
Unaloongea hulifahamu vizuri mkuu. Yanayoendelea kwenye nchi za maziwa makuu siyo mchezo.
 
Search. African Agenda. A new perspective on Africa. Make sense of untold news.
 
kwanza hawa wanapewa na nani mamlaka hayo???mbona hawastahili kabisa kuwa wasuruhishi???maana matendo na mienendo yao ni uvurugaji tu,kwa hiyo yeye anapenda waendelee kuuana???sasa kama MTU kabadili katiba uhalali uko wapi hapo???
 
yaani waandishi wa habari wananiona nimepewa tofali la dhahabu kupiga nalo picha tu wanaandika ohh raisi kahongwa dhahabu ohh sijui nini na nini! Looo! wandishi gani wa habari nyinyi!

Na wale wote wanodhani Tanzania haijakombolewa na wanahitaji kuikomboa ni wapumbavu na malofa!!

Na wale wote waohoji uhalali wa utawala wa Nkurunziza ni wendawazimu!!!

Nimejifunza kuwa kunatatizo katika kichwa cha mwanadiplomasia huyo!

lakini naona aki handle suala la Burundi kama anavyohandle issue ya Zanzibar kwa remote, kakwama tayari. Issue ya Burundi saizi yake ilikuwa Mwl. Nyerere na Mzee Mandela.

Kuiokoa Burundi naomba kazi hii apewe Koffi Anan au Thabo Mbeki.

Dr salim amed salimu ndo anaweza hii kazi Tanzania tumeshidwa kumtumia
 
Back
Top Bottom