mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
amejitakia. Si alituambia ameacha siasa?
Alisema ameacha siasa ili watu waache kumwandama na maswali kuhusu kiwira nk. Sasa atajua maana ya kuacha siasa nini.
amejitakia. Si alituambia ameacha siasa?
Wamemtumia huyu mzee kwani ana expirience ya wizi wa kura kama alivyofanya zanzibar mwaka 2000