Mulugwanza
Member
- Feb 3, 2008
- 88
- 18
Hili Fisadi Mkapa Litatufikisha Pabaya Ni Wakati Mwafaka Wa Kulimaliza
Mie naomba Mmuache Mkapa kwa hili,Kosa la Mkapa Hapa ni lipi kama siyo wivu tu ambao umewajaa watanzania wengi.Na wakati mwingine huwa nahisi maneno aliyoyasema Mkapa ni kweli,Watananzania ni Wavivu wa Kufikiri.
Yeye alichaguliwa kuwa Msuluhishi tu,Na kuhusu Malipo yeye yalikuwa hayamhusu kama Alilipwa na Serikali au alilipwa na UN au AU,Mpaka kieleweke hiyo siyo habari ya kujadili humu ndani na haina maana yeyote ila inajadilika kwa maana ingine ila siyo kwa kumhusisha Mkapa.
Mkapa akama Rais Mstaafu lazima apewe Ulinzi akiwapo sehemu yoyote ambayo kuna Machafuko na hata akiwa Nchini,Deligate yake ya TISS na Daktari wake wanalipwa na Serikali.Kwa kfupi kama ana Watu kumi na walikaa Nairobi kwa Muda huo wote ulitegemea watumie Sh. Ngapi.Mkapa kama Rais lazima akae katika Hoteli ya 5 stars.
Pia Wakati akienda Nairobi aliondoka na Wasaidizi ambao ni wataalam wa ambao mbali mbali waliokuwa wakifanya majadiliano ya Hapa na pale kabla ya kufikia hitimisho.Hapa Kuna mambo mawili AU ina utaratibu ambao Nchi huchangia gharama mbali mbali za Umoja huo na inawezekana Tanzania iliombwa kufanya hivyo.
Tuwe tunaongea hivyo na vigezo na kwa mpangilio unaofaa na siyo kisa mkapa.Wewe ulitaka Afanye kazi Bure.Amesoma na lazima alipwe kutokana na anachofanya
Usiseme Mkapa Ndiye ametumia Pesa hiyo,Sema kwamba Pesa ambayo serikali ilitumia katika Kusuluhisha mgogoro wa Kenya.Nitaweka hansard ya kipindi cha jana jioni mara nikiipata kwani hii inatia uchungu sana sana ,na hata asubihi hii mwanasheria mkuu wa serikali anasema eti kuwa serikali haina idadi ya kesi za kubambikiwa ambazo wananchi wamebambikizwa.
Dr.Slaa alisimama na kutaka muongozo wa Spika kwani ripoti ya Jaji Kisanga ya Haki za Binadamu ambayo wabunge walipewa nakala ilikuwa na vielelezo vya hizo kesi ila spika kaamua kiumwokoa huyu mwanasheria mkuu ambaye hasomi ,kwa kweli serikali hii ipo kama inataka kuanguka vile kwani kila siku kila mtu anakuja na jambo la mauzauza humo ndani ya bunge.
Hizo ni nyingi zaidi ya hizo za kenya sababu mazungumzo yameanza toka 2002.Shilingi ngapi zimetumika kwa kamati ya mwafaka ya CCM na CUF kulinganisha na zilizotumika kusuluhisha WAKENYA? Naona Serikali imekwepa kujadili suala la Mkapa mbele ya ujumbe wa Kenya ambao sasa wanazungumza na wabunge, Dodoma
Hizo ni nyingi zaidi ya hizo za kenya sababu mazungumzo yameanza toka 2002.
Hizo ni nyingi zaidi ya hizo za kenya sababu mazungumzo yameanza toka 2002.
Usiseme Mkapa Ndiye ametumia Pesa hiyo,Sema kwamba Pesa ambayo serikali ilitumia katika Kusuluhisha mgogoro wa Kenya.
Halisi,
Je mahindi ni bora kuliko Masiha ya wakenya Amabo walikuwa wakiuana kila siku>?Je ni hivyo unafanya kwa jirani yako?embu ukichukua hivyo vivyo sivyo ulivyouliza kwamba kama watanzania wakiambiwa watoe pesa ili kuokoa maisha ya jirani au wanunue Chakula cha Ziada wangechagua jambo lipi?
I was thinking the same thing...as am reading this now i hope kuna majibu huko mbele otherwise it doesnt make sense!!!Sasa kama ni hivyo... Kikwete aliende kufanya nini? Na gharama zake zilikuwaje?...
Unaweza kukuta Mkapa kalipiwa na Kofi Anan ama NGO zao za kimataifa. Kuna kitu hapa. Tusimwangalie Mkapa tuangalie fedha.