Mkanganyiko wa Maadili ya Madaktari wakati wa Migomo

Tatizo la pro cdm nyinyi kila kitu siasa mbele mmekuwa kama meseji mnatumwa kila sehem mnakwenda tumieni na zenu' juzi madokta walikuwa mashujaa leo wamewageuka wamekuwa njaa mara vilaza'hivi kati ya dokta na wewe unaekesha kwenye keyboard kushabikia siasa nani ana njaa au kilaza?

Wajua mkuu Nchi hii au i mean serikali hiii iliyopo madarakani wana propaganda nyingi sana,

Kiini kikubwa hapa ni SERIKALI yetu ni kushindwa kuwajibika kiutendaji kabisaaaa na ndilo tatizo kubwa sana, sasa Serikali inacheza kamchezo ka kiini macho hapao na kutaka kutuletea Siasa kwenye kazi za kiutendaji. Facts zipo wazi Tuna tatizo lazima tutambue hilo Hali halisi ya Hospitali zetu ni duni hakuna anae pinga hapa,

Ukusanyaji wa mapato yetu twategemea PAYE almost 20% ya kodi na 80% kama watanzania tu wa kawaida na shughuli zao hawalipi Kodi jueni hilo, mfano tu mzuri uliza wanao pangisha nyumba je wanalipa Kodi Manispaaaa? Majuzi nilikuwa Arusha kwenye kamgahawa mzee mmoja anakaa Maeneo ya matejoo na ananyumba zake za kupanga matejoo na Sakina nzuri tuu anasema hajwahi ulizwa kodi na nikamuuliza kisa ni nini ati sie huku serikali inatutambua tuko kijijini bado khaaa kumbe arusha inaitwa jiji hakuna hata mipango endelevu ya kukuza JIJI? sasa uzembe kama huu wa kutolipa kodi huku mwenye nyumba anaenda kuchukuwa mkopo bank kwa kutumia nyumba.

Hii ni kiasi gani nchi yetu inakosa kitu uwajibikaji/Utendaji na nidhamu na uzalendo kila kukicha twapigana vikumbo tuu humu ndani na kusingizia siasa.

My Take;
Nadhani sisi watanzania kuna mahali nadhani twashindwa kuwakirisha hoja zetu vizuri na tukaeleweka na ndio maana kwa % kubwa zinaonekana ni siasa au kuna watu wataki kabisa nchi hii iende kwa njia iliyo sahihi na safi ili kuficha uozo wao


 
Dah, vitu vya aibu. Si bora wangeji-engage kwenye research kuliko kuomba msamaha kama watoto wadogo! Riwa, nna maswali yako kaka, plz njoo.

Karibu King'asti...samahani nilikuwa nakimbiza shilingi huko kwa waTanzania wa kweli vijijini! To be honest, I was on the same spot in 2006, my dream was to be a surgeon, I was in second year doing masters of medicine in surgery (MMED)...niligoma kuomba msamaha kwa kwa by the waziri mkuu Fredrick Sumaye, na ndipo nilipokoma kufanya kazi kama tabibu n kuingia public health! I NEVER REGRETED...actually, it was the best decision I have ever made in my life!
 
Back
Top Bottom