Merci
Member
- Feb 6, 2012
- 90
- 135
Mheshimiwa Rais, naomba upokee maoni haya kuhusu NHIF.
Ili kufikia lengo la afya kwa wote na pia kuwa na NHIF stable, ni vema kila raia wa Tanzania mwenye NIDA hadi watoto wasajiliwe na kuwa wanachama wa NHIF. Michango ya NHIF iwekwe kwenye mfumo wa TOZO kwenye bidhaa kama umeme, maji na mizigo inayoingizwa nchini.
Hii itafanya kila mwananchi wa Tanzania kuwa na bima ya afya na pia upatikanaji wa michango utakua rahisi na pesa ya kutosha. Wananchi watakubali tozo hii kwakua wataona inafaida moja kwa moja kwenye afya zao.
Pia, jambo hili litakua sawa kiuchumi maana gharama kwa wanachi haitakua imewekwa kwenye kitu kimoja na kutokuleta "inflation". Hili litakua jambo jema sana kwa wananchi wako wote wenye vipato vya juu na chini.
Na mwisho, NHIF waanze kutumia mfumo wa biometric technology kuwatambua wanachama wake na kuzuia udanganyifu wa wagonjwa.
Ili kufikia lengo la afya kwa wote na pia kuwa na NHIF stable, ni vema kila raia wa Tanzania mwenye NIDA hadi watoto wasajiliwe na kuwa wanachama wa NHIF. Michango ya NHIF iwekwe kwenye mfumo wa TOZO kwenye bidhaa kama umeme, maji na mizigo inayoingizwa nchini.
Hii itafanya kila mwananchi wa Tanzania kuwa na bima ya afya na pia upatikanaji wa michango utakua rahisi na pesa ya kutosha. Wananchi watakubali tozo hii kwakua wataona inafaida moja kwa moja kwenye afya zao.
Pia, jambo hili litakua sawa kiuchumi maana gharama kwa wanachi haitakua imewekwa kwenye kitu kimoja na kutokuleta "inflation". Hili litakua jambo jema sana kwa wananchi wako wote wenye vipato vya juu na chini.
Na mwisho, NHIF waanze kutumia mfumo wa biometric technology kuwatambua wanachama wake na kuzuia udanganyifu wa wagonjwa.