Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Wakuu nimefuatilia michango ya Wabunge wa CCM kwenye Budget ya Ulinzi leo hii na imejionyesha dhahiri kuwa kuna mkakati wa pamoja wa wabunge wa CCM katika kupotosha ukweli juu ya mauaji yaliyofanyika huko Ndago Iramba.
Kila Mbunge kabla ya kuchangia alitafuta maneno yatakayo onyesha huruma waliyo nayo juu ya kupotezwa maisha kwa mtu huyo. Pia kutuhumu Chadema moja kwa moja kuwa inahusika wakati suala hilo liko chini ya Polisi kwa uchunguzi.
Hata Mbunge wa Serengeti alipotamka kuwa Chadema inahusika na mbunge wa Upinzani alipoomba taarifa Spika Makinda alimtolea nje.
Nadhani CCM kwa vile wanajua kuwa Bunge linafuatiliwa kwa karibu na Watanzania wengi kwa sasa wamejipanga kutumia nafasi hiyo kuficha njama za Mwigulu zilizopelekea kadhia ya kifo cha mmoja wa Wana CCM.
Kila Mbunge kabla ya kuchangia alitafuta maneno yatakayo onyesha huruma waliyo nayo juu ya kupotezwa maisha kwa mtu huyo. Pia kutuhumu Chadema moja kwa moja kuwa inahusika wakati suala hilo liko chini ya Polisi kwa uchunguzi.
Hata Mbunge wa Serengeti alipotamka kuwa Chadema inahusika na mbunge wa Upinzani alipoomba taarifa Spika Makinda alimtolea nje.
Nadhani CCM kwa vile wanajua kuwa Bunge linafuatiliwa kwa karibu na Watanzania wengi kwa sasa wamejipanga kutumia nafasi hiyo kuficha njama za Mwigulu zilizopelekea kadhia ya kifo cha mmoja wa Wana CCM.