Safi sana! Wasilete utoto hapa, wako bungeni kuwakilisha wananchi na siyo interest zao za serikali 3, wasuse tu posho hakuna na katiba inakamilika kujitoa mnamkomoa nani? Watu tumezoea kuishi kwa amani na siyo vurugu na maandamano na kuwadanganya wananchi, khasidi hakosi sababu dawa yao ndiyo hii.
Mkuu hakuna machafuko yoyote yatakayotokea, wananchi hawana shida na muundo wa Muungano wa sasa! Wanachotaka ni kujikwamua tu kimaendeleo, only that! Mambo mengine mnawasingizia tu wananchi, waacheni wajishughulishe na kuongeza kipato jamani!
I still don't see it holding waters. What if siku ya kupiga kura UKAWA wakarudi bungeni kupiga kura ya HAPANA? What is plan B?
Safi sana! Wasilete utoto hapa, wako bungeni kuwakilisha wananchi na siyo interest zao za serikali 3, wasuse tu posho hakuna na katiba inakamilika kujitoa mnamkomoa nani? Watu tumezoea kuishi kwa amani na siyo vurugu na maandamano na kuwadanganya wananchi, khasidi hakosi sababu dawa yao ndiyo hii.[/QUOT
unakunjwa wewe.au mwehu.pole zako kama we ni mboga ya nepi na mgulu
Kura ya maoni!!!!!!!!! Hivi matokeo ya ubunge wa Kalenga na Chalinze yakoje??????????????? Mnatakiwa kujipanga haswa na si mchezo.
Tokea umefukuzwa umods naona umevurugwa kabisa apply kazi mfSanduku la "kula?"
Chenge na Migiro ni majembe?kuliko Lipumba,Liisu na Jusa!